MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Kampuni ya Uganda yazindua simu mpya ya Android – Mara X
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Kampuni ya Uganda yazindua simu mpya ya Android – Mara X

Kampuni ya Uganda yazindua simu mpya ya Android – Mara X

Imeandikwa na Kato Kumbi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Mara X

Mara Corporation Limited (MC)kampuni kutoka Uganda imeungana na Goolgle kuzindua simu ya Android One iitwayo Mara X, kwa soko la Afrika , tukio hilo limetokea huko MOBILE WORLD CONGRESS, Hispania, Machi 1, 2018. Mara X itakuwa ni smartphone bora Afrika ukilinganisha na TECNO au infinix.

Kampuni ya Uganda yazindua simu mpya ya Android - Mara X

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

 

Mara X itakuwa ni simu ya kwanza Africa iliyopewa Mfumo wa Uendeshaji wa Android 8.0 kwa kutumia mfumo mpya kabisa wa ulinzi kutoka Google wa Android One na itaweza kupata masasisho ya usalama mpya kutoka Goole kila yatokapo kwa muda wa miaka miwili. Pia Mtumiaji wa Mara X atapata uhifadhi wa picha zenye ubora wa hali ya juu na wa bila kikomo kwenye  kwenye cloud za Google Photos.  “Nchini Afrika na katika masoko mengine mbali mballi duniani yanayoibuka, tunahitaji simu za mkononi ambazo zina bei nafuu sana na za ubora stahiki,” alielezea Mwenyekiti wa Mara Group Jagdish Thakkar. “Simu hizi zinawapa watu uwezo wa kuboresha maisha yao kwa njia ya kupata taarifa mtandaoni na kuitumia kwa huduma za biashara na fedha.” Aliongeza.

Siya Chug, Mkurugenzi wa Brand hiyo, anaelezea Mara Group ilianza kama biashara ndogo ndogo nchini Uganda, na sasa imeongezeka hadi kundi la uwekezaji wa sekta mbalimbali ambalo leo, lina Watu zaidi ya 14,000 katika nchi 25 za Afrika na mabara matatu. Aliongeza na kusema Simu ya Mara X ni simu ya kujivunia kama Brand ya Africa.

Shirika la Mara (Mara.com) linalenga pia kujenga mazingira ya biashara ya digital marketing ili kukidhi mahitaji yanayoendelea Afrika kote kwa kuwekeza katika biashara muhimu kama teknolojia ya kifedha, vyombo vya habari vya kijamii, vifaa mbalimbali na simu kama ilivyoanza na mara X.

 

Kampuni ya Uganda yazindua simu mpya ya Android - Mara X

 

“Mara X ni simu ambayo watu wanaweza kujifurahisha, na kujifunza mambo mbali mbali ya teknolojia. Afrika inaonekana kizazi kipya cha wajasiriamali kutafuta teknolojia ya simu ya mkononi ili kusaidia kuendesha biashara zao za kila siku, na Mara X itawafanyia kazi ili kufuata viwango vya juu zaidi vya utengenezaji wa simu. Bara yetu inatarajiwa kuwa na simu za mkononi zaidi ya milioni 700 ndani ya miaka michache, na uhusiano huo utabadilisha maisha ya waafrika wengi. “- Alisema hayo Mwanzilishi wa Mara Mara, Ashish J Thakkar (AshishJThakkar.com).

Unaweza ku Pre-Order simu ya Mara X hapa

Uchambuzi kamili, ubora, Specifications na bei ya simu hii utakuja mara punde mtaawasba itakapofanikiwa kuipata simu hiyo kwahiyo endelea kuwa nasi pia Subscribe katika chanel yetu ya YouTube kwa makala mbali mbali kila wiki na uchambuzi wa vifaa mbali mbali vya kiteknolojia. usisahau kkuacha maoni yako hapo chini au tutmie barua pepe [email protected]

KWENYE Android, Android One, Android Oreo, Google, maraphone mara x
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
1 Comment
  • Avatar of Capacity inc Capacity inc anasema:
    Miaka 5 iliyopita kwa 07:41

    Tuko pamoja mkuu

    Jibu

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?