MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Internet Explorer yapumzishwa baada ya miaka 27
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Internet Explorer yapumzishwa baada ya miaka 27

Internet Explorer yapumzishwa baada ya miaka 27

Imeandikwa na Emmanuel Tadayo Miezi 10 iliyopita
Sambaza
Internet Explorer yapumzishwa baada ya miaka 27

Hatimaye, Internet Explorer yapumzishwa baada ya miaka 27. Kampuni kubwa ya teknolojia ya Microsoft rasmi “imestaafisha” kivinjari chake cha wavuti cha Internet Explorer kuanzia leo Jumatano. “e” ya bluu na nyeupe, wakati mwingine ikiwa na utepe wa dhahabu, itakuwa inaacha kufanya kazi kwenye kompyuta duniani kote, na mtandao.

Internet Explorer yapumzishwa baada ya miaka 27

Baada ya miaka ya 27 ya kutamba, hatimaye leo Microsoft wanapumzisha kivinjari cha wavuti cha Internet Explorer na mbadala wake utakuwa ni kivinjari cha Microsoft Edge ambacho kwa mujibu wa Microsoft kinadaiwa kina usalama zaidi na kiko fasta zaidi. Internet Explorer kwa miaka kadhaa imekuwa ikihusishwa na mapungufu ya kiusalama kwa watumiaji wake.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Kwa wavuti na programu za zamani ambzo hutegemea kivinjari cha Internet Explorer,au kwa namna moja au ingine ukiwa una hitaji kutumia kivinjari hiko kinachopumzishwa leo, unaweza tumia Edge ina kipengele cha “Internet Explorer mode”.

Matumizi yoyote ya programu ya Internet Explorer (IE) yatakupeleka kwenye kivinjari cha Mcrosoft Edge na utapewa ujumbe utakaokujulisha kuwa Edge ina kasi zaidi na ni salama zaidi kwa matumizi.

Kifo cha Internet Explorer hakijaja tu ghafla, kwani kwa miaka sasa kivinjari hiki kimekuwa kikijikongoja dhidi ya washindani wake kama vile Google Chrome, Mozilla Firefox, na hata kivinjari cha Microsoft cha Chromium-based Edge. Matumizi ya Internet Explorer yamepungua katika miaka ya hivi karibuni, na kwa mujibu wa ripoti ya StatCounter inaonyesha IE ina chini ya nusu ya jumla ya sehemu ya soko la kivinjari.

Baada ya hapo Microsoft ikaonelea iongeze kipengele cha “Internet Explorer mode”  katika kivinjari cha Edge na kuwahimiza watumiaji wa Windows kuhamia kwenye Edge kabla ya kufunga programu asili ya Internet Explorer kwa kompyuta za mezani.

 

 

KWENYE Microsoft
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?