MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Kampuni ya Sony imezindua Dolby Vision Blu-ray player na Dolby Atmos receiver
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > CES 2018 > Kampuni ya Sony imezindua Dolby Vision Blu-ray player na Dolby Atmos receiver

Kampuni ya Sony imezindua Dolby Vision Blu-ray player na Dolby Atmos receiver

Imeandikwa na Kato Kumbi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Kampuni ya Sony imezindua Dolby Vision Blu-ray player na Dolby Atmos receiver

Kampuni ya Sony imezindua 4K Blu-ray Player ambayo inasupport Dolby Vision HDR na A/V receiver ambayo inatoa audio ya Dolby Atmos huko kwenye maonesho CES 2018. Blu-ray Player ya UBP-X700 imeundwa kwa ajili ya diski za Blu-ray za 4K ikiwa ni pamoja na HDR10 au Dolby Vision na inajumuisha programu za Netflix, Amazon Prime Video na YouTube.

Kampuni ya Sony imezindua Dolby Vision Blu-ray player na Dolby Atmos receiver
The STR-DH790 receiver,

Na Receiver ya STR-DH790, kulingana na Sony inaweza kupitisha muundo wote wa HDR bila kupoteza ishara yoyote. Bidhaa zote mbili zimezinduliwa iki ni pamoja na televisheni ya hivi karibuni iliyozinduliwan na kampuni hiyo ya Sony. Mtaawasaba.com bado haijapata bei kamili ya bidhaa hizo japo bidhaa hizo zitaingia sokoni hivi karibuni.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Pia kampuni ya Sony imezindua bidhaa zingine ikiwemo simu tatu Sony Xperia XA2, XA2 Ultra pamoja na L2. Mbwa Roboti anajulikana kama AIBO na bidhaa zingine kadhaa.

KWENYE Sony
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?