MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Samsung wana uwezo wa kuzima TV zilizoibiwa.
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Chaguo la Mhariri > Samsung wana uwezo wa kuzima TV zilizoibiwa.

Samsung wana uwezo wa kuzima TV zilizoibiwa.

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 2 iliyopita
Sambaza
Samsung wana uwezo wa kuzima TV zilizoibiwa.

Samsung wana uwezo wa kuzima TV zilizoibiwa. ambapo TV yoyote ya Samsung inaweza kuzimwa kwa kutumia teknolojia iliyomo ndani ya TV hizo.  Hii imekuja baada ya uporaji wa TV za Samsung huko Afrika kusini.

Wiki kadhaa zilizopita kulitokea machafuko huko Afrika kusini ambapo waandamanaji walivamia maduka na kupora bidhaa zenye thamani Zaidi ya mamilioni ya dola. Moja ya walioathirika na dhahama hii ilikuwa na ghala la Samsung lililoko maeneo ya pwani ya mashariki ya Afrika kusini ambapo TV kadhaa mpya ziliporwa na waandamanaji hao.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

TV nyingi zilizoporwa zimeonekana zikiuzwa mitaani kwa bei sawa na bure, bila wahalifu hao kujua kama Samsung wana mbinu zao za kuwadhibiti.

Kwa kutumia teknolojia ya TV Block, Samsung wameanza kuzizimisha TV zote zilizoporwa. Hii ilifahamika kufuatia Habari kwa waandishi iliyotolewa mapema mwezi hu una Samsung huko Korea ya kusini kufuatia uporaji huo.

Teknolojia hii ya TV Block ni mfumo wa usalama wa TV za Samsung ambapo mtumiaji wa mwisho aliyepata TV hiyo kwa njia zisizo halali atashindwa kuitumia pindi tu atakapomaliza kuisaji kabla hajaanza kuitumia.

TV Block ni nini?

Kwa mujibu wa Samsung, TV Block ni mbinu ya ulinzi inayofanya kazi kichinichini ambayo inagundua kama kifaa husika kimewashwa, na kuhakikisha kifaa hicho kinatumika na mmiliki wa halali mwenye Ushahidi wa umiliki wa kifaa hicho.

 

Teknolojia hii ipo kwenye TV zote za Samsung ikiwa na lengo la kudhibiti soko la kati kama lile la wauzaji wa bidhaa zilizoibiwa duniani kote.

Akizungumza bwana Mike Van Lier, ambaye ni mkurugenzi wa bidhaa za kielektroniki afrika kusini alisema, “In keeping with our values to leverage the power of technology to resolve societal challenges, we will continuously develop and expand strategic products in our consumer electronics division with defence-grade security, purpose-built, with innovative and intuitive business tools designed for a new world. This technology can have a positive impact at this time, and will also be of use to both the industry and customers in the future.”

Samsung TV Block inafanyaje kazi?

Mtu mwenye TV iliyoibiwa anapoiunganisha kwenye internet wakati anaisajili, namba za usajili za TV hiyo zitagundulika na seva ya Samsung. Hii itaamsha mfumo wa uzimaji iyo TV na kuizuia kufanya kazi

Na kama itatokea mtu aliyenunua kwa halali TV yake na ikajifunga wakati anaisajili, Samsung wamehakikisha TV za namna hiyo zitarudishwa kawada pindi tu atakapoonesha Ushahidi wa kuinunua TV hiyo kutoka kwa wauzaji wanaotambuliwa.

Je, naweza tumia Samsung TV Block iwapo TV yangu itaibiwa?

Jibu ni la, kwa sasa Samsung wamesema wanaweza kuzuia TV nyingi zinazoibiwa kwa mara moja na sio moja moja, japo tunatarajia kuiona teknolojia hii ikifaa hata kwa mtu mmoja mmoja. Nadhani watanzania wengi wataifurahia huduma hii pindi itakapoachiwa kwa watu wote.

KWENYE TV Block
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?