MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Kipya kutoka Tecno: Phantom 8 na Phantom 8 Plus?
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Kipya kutoka Tecno: Phantom 8 na Phantom 8 Plus?

Kipya kutoka Tecno: Phantom 8 na Phantom 8 Plus?

Imeandikwa na Kato Kumbi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Kipya kutoka Tecno: Phantom 8 na Phantom 8 Plus?

Mwisho wa mwaka Makampuni kama Apple, Samsung, HTC na Google walizindua vifaa vyao vipya kwa wateja wake. Kwa upande mwingine Kampuni inayoongoza kwa kuuza smartphone za bei nafuu Africa nayo inatarajia kuzindua vifaa vyake viwili  ifikapo Octoba 22 Dubai.

Mtaawasaba ilifanikiwa kuzipata taarifa hizo kupitia ukurasa wa Twitter wa @TECNOMobileNG na kupata baadhi ya picha za vifaa hivyo viwili Tecno Phantom 8 na Tecno Phantom 8 Plus.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Kipya kutoka Tecno: Phantom 8 na Phantom 8 Plus?

Specification

By the way Hebu tuzingalizie bidhaa hizi mbili zitakuwa na kipi kipya zaidi?

Tecno Phantom 8 inatarajiwa kuwa na

  • Kioo cha 5.5 inch full HD display
  • 6GB RAM
  • 32GB or 64GB storage
  • 13MP + 5MP dual rear cameras (kama ilivyokuwa Phantom 6)
  • 8MP front camera
  • Mediatek Helio P25 Octa-core 2.6GHz Processor
  • 3500mAh battery
  • Android 7 Nougat utakayoweza kuupdate kwenda android 8 (Oreo)
  • Plastic Body

Na Tecno Phantom 8 Plus

  • Kioo cha 6.0 inch full HD display
  • 6GB RAM
  • 64GB storage
  • Mediatek Helio X30 Processor
  • 2x Telephoto Lens camera
  • 20MP front camera
  • 4000mAh battery
  • Android 7 Nougat (or some suggest Android 8 Oreo)
  • Body ya Metal au Glass
Kipya kutoka Tecno: Phantom 8 na Phantom 8 Plus?
Picha mojawapo ya Tecno Phantom 8 Iliyovuja mtanadoni

Hata hivyo Mtaawasaba haijathibisha kuwa ndio zitakuwa specification halisi ya simu hizo mbili.

Tufuatilie @MtaawaSaba ili usipitwe na Habari, Uchambuzi naMakala mbali mbali ya mitanadoni na ya kiteknolojia kwenye Facebook, Twitter, Instagram, Google+ na Youtube, Pia usisite kutoa maoni yako hapo chini au tuandikie barua pepe kwa [email protected]

Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?