MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Serikali ya Tanzania kuanza kukusanya kodi kwenye mitandao ya kijamii
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > Serikali ya Tanzania kuanza kukusanya kodi kwenye mitandao ya kijamii

Serikali ya Tanzania kuanza kukusanya kodi kwenye mitandao ya kijamii

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 2 iliyopita
Sambaza
kodi kwenye mitandao ya kijamii
Serikali ya Tanzania kuanza kukusanya kodi kwenye mitandao ya kijamii, ameyasema hayo leo, Jumatano, Septemba Mosi, 2021 Waziri wa Fedha na Mipango wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba wakati akizungumzia marekebisho ya tozo katika miamala ya simu yaliyofanywa na Serikali. Akifafanua amesema wako kwenye mchakato wa kuanza kutoza kodi makampuni yenye  mitandao ya kijamii kama nchi zingine zinavyofanya.

 Biashara zinahamia kidijitali, kuna ‘components’ kubwa inayofanya biashara kwa njia za kimtandao. Zile biashara zilizohamia kwenye mtandao hakuna eneo zinazotozwa kodi.

Dk Nchemba amesema, “tozo sio adhabu bali ni mshikamano kwa sababu kuna watu wetu wana uhitaji, nilivyoingia niliwaambia watalaamu mbona haya makubwa makubwa tunayaacha? Kwa hiyo tunaangalia namna hivi App vikubwa vikubwa ambavyo tukishika simu zenu mnavitumia, jamaa anakusanya fedha huko huko hapa hana ofisi.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

“Au mnaviona vipo katika simu tu, kuna majamaa yanatengeneza fedha, si mmeshavielewa kila kimoja? Ukiondoa vile vyenye namba ya simu vile vingine ambavyo ukibonyeza unaweza kucheza au muziki subscribe. Vipo vingi lakini kodi yake imelipiwa wapi,”amesema Dk Mwigulu.

Dk Nchemba amesema ameshazungumza na wataalamu wake, kuhusu suala hilo na kwamba  wanalilia ‘timing’ hata kama wahusika hawana ofisi hapa nchini,  lakini kwa kuwa  teknolojia inakua hawatashindwa kuwapata hata mahali.

“Biashara zinahamia mtandaoni, tunataka tuone namna ya kupata hii huduma ya kodi kwa njia ya mtandao. Nimewaambia waendelea kuangalia nchi zilizofanikiwa ili tuone namna ya kuichukua.

chanzo: Serikali kusaka kodi za wamiliki wa mitandao

Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
1 Comment

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?