MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Kufa kwa symbian neema kwa asha sasa yapata multitasking na swipe ui
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Makala > Kufa kwa symbian neema kwa asha sasa yapata multitasking na swipe ui

Kufa kwa symbian neema kwa asha sasa yapata multitasking na swipe ui

Imeandikwa na Hemedans Nassor Miaka 10 iliyopita
Sambaza
Kufa kwa symbian neema kwa asha sasa yapata multitasking na swipe ui

wengi wetu tunazijua simu za nokia asha kama feature phone simu ambazo ni ndogo na zisizo na nguvu, lakini mambo yamebadilika sasa nokia wameijenga upya operating system yao ya asha (Nokia Asha software platform 1.0). operating system hii sasa imeekwa test ya meego kama vile nokia n9. na sasa ina uwezo wa kufungua application nyingi kwa wakati mmoja (multitasking).

nokia-unveils-asha-501-at-99-to-take-on-googles-android-based-phones

Unaweza Kusoma

Simu zinazotumia Blackberry OS kuacha kufanya kazi kuanzia Januari 4

Google kutengeneza Miwani Janja (Smartglasses)

WhatsApp inafanya majaribio ya malipo kwa sarafu za kidigitali

Jinsi ya Ku Activate Windows 11 Matoleo Yote Bure Bila Programu ya Ziada

vitu muhimu vya kuangalia kwenye hii operating system mpya ya asha.

ulaji wa battery

operating system hii inaonekana ni nyepesi sana kwani simu iliyozinduliwa nayo asha 501 ina battery yenye ukubwa wa 1200mah lakini imeweza kukaa na chaji siku 48 bila kutumiwa ikiwa on tu na masaa 17 ya kuongea. hii inamaana asha hii inakaa na chaji kuliko kisimu cha tochi ambacho kinakaa na chaji hadi siku 35

 

specification za simu

mpaka sasa ipo simu moja tu yenye network ya 2g double line, haina specific za kutisha ina ram 64mb na internal 128mb lakini hili haliifanyi hii simu iwe slow, simu ipo fasta kama smartphone nyengine. nokia wameahidi itatoka version ya pili yenye speed ya 3g na specification kubwa

nokia-asha-501-color-range

 

multitasking

hichi ndio kitu muhimu zaidi kilichokua kinsubiriwa na wengi kwa nokia asha kua na multitasking. asha sasa inauwezo wa kufungua application nyingi kwa mpigo. mfano kuacha browser inadownload huku unasoma document huku unaskiliza mziki kwa wakati mmoja.

 

homescreen mpya

kwenye hii asha os mpya kuna homescreen za aina mbili, ya kwanza ni menu na ya pili ni fastlane. ngoja niielezee fastlane kidogo hii ni homescreen ambayo utaona open application utaona activities za jana utaona na za leo na utaeka za kesho kama unataka.

Nokia-Asha-501-one-swipe-jpg

 

general user interface

muonekano wa asha wote umebadilika, kuanzia music player, video player na sehemu za kuandikia text kama message. now kwenye asha unaweza kueka image ndo ikawa background ya menu na pia cha muhimu zaidi ni swipe ui. kama upo familia na meego utakuwa unajua kua n9 haina button hata moja kila kitu unaswipe. kwenye asha kuna button moja tu kila kitu kinafanywa kwa kuswipe.

 

video

kama hujaridhika na maneno kuna video nzuri inayoonyesha hii simu unaweza iangalia hapa

http://youtube.com/watch?v=laIDw78OVjM

 

je unaionaje nokia asha mpya? umeipenda kama mimi? niandikie hapo chini kwenye comments

KWENYE meego, Nokia, nokia asha, Symbian
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Miezi 4 iliyopita
Meta kusitisha bidhaa zake za Portal na kufuta saa janja ambazo hazijatoka

Meta kusitisha bidhaa zake za Portal na kufuta saa janja 2 ambazo hazijatoka

Miezi 4 iliyopita
Samsung Galaxy A33, A53, na A73 zazinduliwa

Simu za Samsung Galaxy A33, A53, na A73 zazinduliwa rasmi

Mwaka 1 uliopita
Galaxy S22 na Galaxy S22 Plus

Kila kitu unachotakiwa kujua kuhusu Samsung Galaxy S22 na S22 Plus

Mwaka 1 uliopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?