MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Ripoti: Android P itakuwa na muonekano wa iPhone X
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Chaguo la Mhariri > Ripoti: Android P itakuwa na muonekano wa iPhone X

Ripoti: Android P itakuwa na muonekano wa iPhone X

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Ripoti: Android P itakuwa na muonekano wa iPhone X

Mpaka sasa sio simu nyingi tayari zimepata sasisho la toleo jipya mfumo endeshi wa Android Oreo. Na tayari Google wanajiandaa kuachia toleo linalofuata la mfumo endeshi huo ambao kwa sasa umepewa jina la Android P. Mpaka muda huu Google hawajatoa taarifa zozote rasmi kuhusu jina au vitu vitakavyo ongezwa au kupunguzwa kwenye toleo hili jipya. Hata hivyo tayari kuna tetesi tayari zimeanza kuzagaa mtandaoni kuhusu sasisho hili.

Chanzo ambacho hakikupenda kutaja jina lake, kimevujisha taarifa kuhusiana na toleo jipya la Android P, akiongea na Bloomberg, chanzo hicho kimeelezea muonekano wa Android P umesukumwa na muonekano wa iPhone X hasa kile ki “notch” upande wa juu kioo ambacho Samsung walikitumia kuwapiga dongo Apple.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

iphone-notch

Chanzo hicho kiliongeza, Sasisho hili  la Android pia litatia mkazo kwenye program ya Google Assistant, kuboresha maisha wa betri, na pia kuweza ku support simu zenye vioo zaidi ya kimoja na zile zenye vioo vya kujikunja.

Google wamejikita zaidi katika kuwavuta watumiaji wa iPhone warudi kutumia mfumo wa Android na ndio maana sasisho hili linaongeza vitu hivyo. Msemaji mkuu wa Google hakukubali au kukataa madai ya mvujishaji huyu.

Hatutegemei kampuni ya kutengeza simu ya Samsung kutoa simu yenye “notch” maana wameonekana kutopenda feature hiyo pale walipowadhihaki kwenye tangazo lao la galaxy s8. Hata ivyo kuna simu kama Essential phone tayari zimekuwa na notch hapo kabla.

GoLcDRC

Endelea kuwa nasi kwenye mitandao mbali mbali ya kijamii ili usipitwe na Habari, Uchambuzi na Makala mbali mbali za kiteknolojia kwenye Facebook, Twitter, Instagram, Google+ na Youtube, Pia usisite kutoa maoni yako hapo chini au tuandikie barua pepe kwa [email protected]

KWENYE Android P, Google
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?