MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma ‎Apple inaondoa programu ambazo hazijasasishwa kwa muda‎ mrefu
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > ‎Apple inaondoa programu ambazo hazijasasishwa kwa muda‎ mrefu

‎Apple inaondoa programu ambazo hazijasasishwa kwa muda‎ mrefu

Imeandikwa na Kato Kumbi Miezi 11 iliyopita
Sambaza
‎Apple inaondoa programu ambazo hazijasasishwa kwa muda‎ mrefu

Katika juhudi za kuboresha Duka la Programu maarufu kama App Store kuwa rahisi kutumia, ‎Apple inaondoa programu ambazo hazijasasishwa kwa muda‎ mrefu. Taarifa zinasema kuwa Apple inapanga kupiga panga programu zote ambazo hazijasasishwa katika miaka miwili iliyopita.

Apple imeanza kufanyia tathmini programu ambazo inadhani zinaweza kuwa zimepitwa na wakati. Ikiwa programu hizo zitaonekana hazijawahi kusasishwa ndani ya miaka 2, kampuni itawajulisha wasanidi programu husika. Hata hivyo, Apple itaondoa mara moja programu za zamani ambazo hazitasasishwa ndani ya siku 30 baada ya tangazo hili. Baada ya kuondolewa, watumiaji ambao tayari wamepakua programu wanaweza kuendelea kutumia na kuipakua tena. Programu zilizoondolewa pia zitabaki kwenye akaunti za wasanidi programu ili waweze kuweka majina ya programu.

‎‎The Verge‎ ambao ndio walikuwa wa kwanza kushapisha taarifa hii wameandika‎, watengenezaji wamekuwa wakilalamika kwenye mitandao ya kijamii juu ya sera hii mpya, kwani hii inaweza kuwa na madhara kwa watengenezaji wadogo na wa kujitegemea.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

KWENYE Apple
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?