MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Apple kununua app ya kutambua muziki ya Shazam
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Apple kununua app ya kutambua muziki ya Shazam

Apple kununua app ya kutambua muziki ya Shazam

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Apple kununua app ya kutambua muziki ya Shazam

Taarifa ambazo zimeanza kuonekana Tech Crunch zinasema kuwa Kampuni ya Apple iko katika hatua za mwisho kabisa kukamilisha dili la kuinunua app ya Shazam, programu inayokuwezesha kutambua nyimbo, matangazo au hata vipindi vya runinga kwa kuisikilizisha tu na inakuletea majibu ndani ya sekunde chache.

Kwa mujibu wa taarifa iyo, dili hilo la kuinunua Shazam lilisainiwa wiki hii, na inasemekana litatangazwa rasmi jumatatu (japo mambo yabnaweza kubadilika).

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Chanzo kimoja cha habari kinadai dili hilo ni la tarakimu tisa na chanzo kingine kinadai ni dola za kimarekani 401, haijawekwa wazi bado.

Shazam imekuwepo tangu mnamo mwaka 1999, ambapo jina lake la mwanzo lilikuwa 2580, ambayo ilikuwa ni namba unayopiga kwenye simu yako kuipata huduma hiyo huko Uingereza.

Ukiachana na dili hili, Apple imeshafanya manunuzi mengi na moja kati ya manunuzi makubwa kabisa ni katika eneo la muziki, ambapo mwaka 2014 Apple ilinunua Beats kwa dola za kimarekani bilioni 3, na kuifanya kama msingi wa Apple Music, huduma ambayo kwa sasa ina watumiaji milioni 30.

Tutaendelea kukujuza zaidi kuhusiana na habari hii

KWENYE Apple, Shazam
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?