MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Apple wazindua iPhone 13 Pro na Pro Max zikiwa na kioo chenye 120Hz
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Apple Event > Apple wazindua iPhone 13 Pro na Pro Max zikiwa na kioo chenye 120Hz

Apple wazindua iPhone 13 Pro na Pro Max zikiwa na kioo chenye 120Hz

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 2 iliyopita
Sambaza
iPhone 13 Pro
Apple wazindua iPhone 13 Pro na iPhone 13 Pro Max zikiwa zinapokea kijiti kutoka kwa watangulizi wake iPhone 12 Pro na iPhone Pro Max. Uzinduzi huu umetangazwa kwenye Apple event siku ya jumanne tarehe 14, 2021, pamoja na simu hizi pia Apple wamezindua iPhone 13 na iPhone 13 Mini.

Simu hizi mbili zinaingia sokoni zikiuzwa kwa bei sawa na ya watangulizi wake, ambapo  iPhone 13 Pro itauzwa kwa dola za marekani 999 sawa na shilingi za tanzania milioni 2 na laki 3 huku iPhone 13 Pro Max ikiuzwa dola za kimarekani 1,099 sawa na milioni 2 na laki 6, bei hizi zinaweza badilika kutokana na kupanda au kushuka kwa shilingi ya Tanzania.

Kama kawaida yao Apple, tofauti kati ya simu za pro na zilizobaki ni kamera, hata iPhone 13 Pro haziko tofauti na watangulizi wake. Zinakuja kamera tatu au kama tunavoziita wenyewe macho matatu zikiwa na lenzi ya telefoto yenye ukubwa wa milimita 77 yenye uwezo wa ku zoom x3 tofauti na mtangulizi wake ambapo iphone 12 pro ilikuwa na uwezo wa kuzoom x2.5

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Pia inakuja na kipengele kipya kwa jina la ProMotion ambacho kwa mara ya kwanza kabisa kinakuja kwenye simu za iPhone, huu ni mpangilio unaofanya simu iwe nyepesi na laini kuitumia, kipengele hiki kipo kwenye simu za android kama Samsung na zingine maarufu kama 120Hz refresh rate.

Habari hii bado inaboreshwa

 

Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?