MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Uchambuzi: Sifa na Bei ya Nokia 6 (2018)
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > CES 2018 > Uchambuzi: Sifa na Bei ya Nokia 6 (2018)

Uchambuzi: Sifa na Bei ya Nokia 6 (2018)

Imeandikwa na Kato Kumbi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Uchambuzi: Sifa na Bei ya Nokia 6 (2018)
Yaliyomo
Mitandao na Programu endeshiMuundoKifaaKameraMultimidiaUunganifuMengineyo

Tayari Nokia wameshazindua simu ya Nokia 6 (2018) inayotengenezwa kwa leseni na kampuni ya HMD Global. Unaweza soma makala inayohusu uzinduzi huo hapa. Hebu tuone sifa za simu hii na gharama zake.

Uchambuzi: Sifa na Bei ya Nokia 6 (2018)

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Mitandao na Programu endeshi

  • 2G: GSM, GPRS, EDGE 850 / 900 / 1800 / 1900MHz
  • 3G: HSDPA 850 / 900 / 1900 / 2100 MHz
  • 4G: LTE Frequency Band 1(2100) / 3(1800) / 5(850) / 7(2600) / 8(900) / 20(800) / 28(700) / 38(2600) / 40(2300)
  • Aina ya SIM: Nano SIM mbili (dual)
  • Mfumo endeshi: Android 7 Nougat inayoweza kupandishwa mpaka Android 8 Oreo

Muundo

  • vipimo: milimita 148.8 x 75.8 x 8.15
  • Uzito: gramu 172
  • Kioo: kina ukubwa wa inchi 5.5, na pixeli 1920 x 1080, pia IPS LCD ambacho ni Gorilla Glass
  • Sensa: Fingerprint, Accelerometer, Proximity
  • Imetengenezwa kwa : Aluminiumu
  • Rangi: Nyeupe na nyeusi

Kifaa

  • Aina ya Prosesa: 64-bit Octa-core 2.2GHz Cortex-A53
  • Jina la Prosesa: Snapdragon 630
  • Prosesa ya grafiksi: Adreno 508
  • RAM: 4GB
  • Ujazo wa ndani: 32GB / 64GB
  • Ujazo wa nje: microSD, mpaka 128GB (hybrid slot)

Kamera

  • Nyuma: Megapixeli 16, auto-focus, LED flash
  • Kurekodi: 1080 @ 30fps yenye teknolojia ya OZO Audio recording.
  • Mbele: Megapixeli 8

Multimidia

  • Mafaili inayoweza kucheza: MP3/WAV/eAAC
  • Spika kubwa: Mono
  • Video : MP4/MPEG4/H.263/H.264 player
  • Redio ya FM: Inayo

Uunganifu

  • Bluetooth: v4.2
  • WiFi: Wi-Fi 802.11 b/g/n, hotspot
  • GPS: ipo
  • USB: microUSB v2.0, USB-C

Mengineyo

  • Chaji: inachaji betri kwa kasi
  • Aina ya betri na uwezo: Li-Ion 3000mAh
  • Siku ya kutangazwa: Januari 5, 2018
  • itaanza kupatikan: January 10, 2018
  • Gharama zake kuinunua: dola za marekani $230 / $260

 

KWENYE HMD GLOBAL, Nokia 6, Nokia 6 (2018)
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?