MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Blackberry Z10 Yazinduliwa Rasmi
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Teknolojia > Blackberry Z10 Yazinduliwa Rasmi

Blackberry Z10 Yazinduliwa Rasmi

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 10 iliyopita
Sambaza
Blackberry Z10
Baada ya kimya cha muda mrefu kutoka  kwa reserch in motion watengenezaji wa  simu za blackberry, hatimaye wamekuja na simu mpya kabisa aina ya blackberry z10, ili kwenda sambamba na wapinzani wao wakubwa simu za android kama samsung, htc na pia kutoka simu za windows bila kusahau simu za apple yani iphone

kwa haraka haraka simu ya blackberry z10 ina sifa zifuatazo;

 

Unaweza Kusoma

Jinsi ya Ku Activate Windows 11 Matoleo Yote Bure Bila Programu ya Ziada

Vodacom Tanzania waja na M-Pesa visacard

Microsoft wazindua Windows 11 yenye muonekano tofauti kidogo na uliozoeleka

Samsung wana uwezo wa kuzima TV zilizoibiwa.

Blackberry Z10 Yazinduliwa Rasmi

-screen ya bb10 itakua na 4.2 inches ikiwa na 356 ppi. (hapa naona wamejitahidi kuleta specs za kisasa)

-blackberry z10 ndo itakua full touch screen na q10 itakua qwerty(ya button)

-kama unaangalia video then ukapata msg just unaswipe unasoma message then unaswipe kurudi kwenye video (yale yaleee ya meego)
-kutakua na blackberry hub itakusanya contact zote za fb, twitter, watsapp, za simu na itakua inakupa updates za social network zako.

-contact zako zitakua populated na linkedin na website nyengine zenye info za watu. (mfano nimemsave mtoto six, nimeeka namba na email ila kuna vitu sivijui about mtoto six, then mtotosix yupo linkedin so bb watavifata kule waniletee)
-wanadai bb watatupa best typing experince kwenye touch kama ilivo kwenye keyboard (mfano umekosea just one click itacorect spell na vidude vyengine (correc kwa watumia kingereza)

  • kutakua na mode mbili personal na work mode ya kikazi zaidi
  • HURRAAAAY kwa wana bb BBM imeekwa video call so mtakua mnapiga simu na video call bure
    Blackberry Z10 Yazinduliwa Rasmi

Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Miezi 4 iliyopita
NALA yakusanya bilioni 23.1

Kampuni ya huduma za kifedha ya NALA yakusanya bilioni 23.1 za uwekezaji

Mwaka 1 uliopita
Simu zinazotumia Blackberry OS kuacha kufanya kazi kuanzia Januari 4

Simu zinazotumia Blackberry OS kuacha kufanya kazi kuanzia Januari 4

Mwaka 1 uliopita
Google Kutengeneza Miwani Janja (Smartglasses)

Google kutengeneza Miwani Janja (Smartglasses)

Mwaka 1 uliopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?