MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Meta kusitisha bidhaa zake za Portal na kufuta saa janja 2 ambazo hazijatoka
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > Meta kusitisha bidhaa zake za Portal na kufuta saa janja 2 ambazo hazijatoka

Meta kusitisha bidhaa zake za Portal na kufuta saa janja 2 ambazo hazijatoka

Imeandikwa na Amos Michael Miezi 4 iliyopita
Sambaza
Meta kusitisha bidhaa zake za Portal na kufuta saa janja ambazo hazijatoka

Ni siku chache tangu Meta kutangaza kuwa itapunguza wafanyakazi takribani 11,000 ambao ni sawa na asilimia 13 ya wafanyakazi wote kwenye kampuni ya Meta. Leo kumekuja habari kuwa Meta kusitisha bidhaa zake za Portal na kufuta saa janja 2 ambazo hazijatoka.

Ripoti hii imekuja kupitia Reuters na kuchapishwa na mtandao wa TheVerge ikifafanunua kusitishwa kwa bidhaa hizo mbili na kampuni ya Meta

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Mnamo Juni, Meta ilitangaza kuwa haitazalisha tena vifaa vya Portal kwa watumiaji. Na kwa kuongezea, chapa hiyo ilisema haitatoa tena saa janja zilizopewa jina “Milan.” Kulingana na ripoti, saa janja hizi zilipangwa kuwasili mnamo 2023. Na zilitarajiwa kuingia sokoni kwa bei ya dola za marekani 350 na zitajumuisha kamera mbili zilizojengwa kwa ajili ya simu za video. Sasa, kampuni hiyo imefanya uamuzi mwingine wa kuachana na mipango yake ya kuzindua saa zake janja.

Kifaa cha Facebook Portal ni onyesho mahiri (smart display) ambayo lengo lake kuu ni kupiga simu za video kwa marafiki na familia kupitia huduma ya kupiga simu ya video iliyojengwa ndani ya Facebook Messenger, lakini Facebook Portal pia inajivunia utendaji wa Alexa.

Portla

Portal ambayo ilizinduliwa mwaka 2018, kumekuwa na matoleo mapya kadhaa huku Portal Go ikiwa ndio toleo jipya kabisa lililoachiwa na Meta. Hata hivyo bidhaa hii imeshindwa kuvutia watumiaji wa kawaida moja ya sababu kubwa ni kuhusu sera za Faragha za Facebook. Pia sababu nyingine kubwa ni ushindani kutoka kwa bidhaa kama Amazon Echo, na baada ya kujaribu kwa miaka kadhaa hatimaye Meta wame “sarenda”.

Mpaka sasa haijaeleweka ni kwanini Meta wamesitisha uuzaji wa bidhaa yake ya Portal na kusitisha saa janja hizo mbili zilizotarajiwa kutoka hivi karibuni.

 

 

KWENYE Meta, portal, Saa janja
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?