MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Elon Musk anunua asilimia 9.2 ya hisa za Twitter, na kuwa mdau mkubwa
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > Elon Musk anunua asilimia 9.2 ya hisa za Twitter, na kuwa mdau mkubwa

Elon Musk anunua asilimia 9.2 ya hisa za Twitter, na kuwa mdau mkubwa

Imeandikwa na Emmanuel Tadayo Miezi 12 iliyopita
Sambaza
Elon Musk anunua asilimia 9.2 ya hisa za Twitter
Kwa mujibu wa taarifa kutoka soko la hisa huko Marekani zinasema, Elon Musk anunua asilimia 9.2 ya hisa za Twitter ambazo ni sawa na dola za kimarekani billioni 2.89 kwa mujibu wa viwango vya soko siku ya ijumaa, na kumfanya kuwa ndiyo mmiliki mkubwa wa hisa za kampuni hiyo.

Hisa za mtandao wa kijamii wa Twitter zilipanda ghafla kwa asilimia 27 kufuatia taarifa ya Elon Musk kununua hisa. Upandaji huu mkubwa wa hisa za kampuni hii haujawahi tokea mwaka 2013 Twitter walianza rasmi kuruhusu watu kununua hisa za kampuni hiyo.

Elon Musk mwenyewe hajasema sababu zilizomsukuma kununua hisa hizo au mipango yake kwenye kampuni hii. Hata hivyo amekuwa mkosoaji mkubwa wa sera za mtandao wa Twitter hasa kuhusu uhuru wa kujieleza. Mwezi uliopita alisema ana “mpango serious” wa kuanzisha mtandao wake wa kijamii. 

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Elon Musk hatajiunga na bodi ya wakurugenzi Twitter

Elon Musk hatajiunga na bodi ya wakurugezi wa Twitter, hii ni kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa na mkurugenzi mtendaji wa Twitter bwana Parag Agrawal ambaye aliandika kupitia mtandao huo wa kijamii. Elon alitarajiwa kukaribishwa kwenye bodi ya wakurugenzi siku ya jumamosi akiwa kama mmiliki mkubwa wa hisa ila siku hiyo hiyo alighairi na mpaka sasa haijasemwa ni kwa nini ameghairi kujiunga

KWENYE Elon Musk
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?