MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Facebook yathibitisha kufanya majaribio ya kitufe cha downvote
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > Facebook yathibitisha kufanya majaribio ya kitufe cha downvote

Facebook yathibitisha kufanya majaribio ya kitufe cha downvote

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Facebook yathibitisha kufanya majaribio ya kitufe cha downvote

Kwa miaka sasa, watumiaji wa mtandao wa kijamii wa Facebook wakiomba kuongezwe kitufe cha “Dislike” lakini haikuwahi kutokea ivyo. Badala yake kumekuwa na kitufe kingine kimeanza kuonekana kwa baadhi ya watu.

Siku ya alhamisi, watu kadhaa wameanza kuona kitufe cha Downvote kwenye sehemu ya comment ndani ya magrupu ya Facebook na kwenye kumbukumbu za zamani. Watumiaji kadhaa wamekuwa wakisambaza screenshot za kitufe icho.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

kitufe cha downvote

Hata hivyo msemaji wa Facebook amekanusha kufanya majaribio ya kitufe cha Dislike. Amesema “Hatufanyii majaribio kitufe cha dislike. Tunajaribu kitu kipya ambacho watu watatupa mrejesho kwenye maoni kuhusiana na post kwenye makundi ya Facebook. Kwa sasa tunafanya majaribio kwa kundi dogo la watu kwa Marekani pekee.”

Majaribio yanafanyika kwa 5% ya watumiaji wa Marekani ambao wameweka lugha ya Kiingereza. Kitufe kitatokea kwenye machapisho yaliyo post zinazoonekana na watu wote na sio kwenye vikundi, watu maarufu au watumiaji wa kawaida. Kwa sasa hawana mpango wa kuongeza watu zaidi kwa ajili ya majaribio.

Lengo la kitufe hicho cha Downvote kinapoguswa ni kushusha comment ambayo inaonekana “inakarahisha”, “inapotosha” au “nje ya mada”. Ni moja ya jitihada za Facebook kuhakikisha taarifa halisi kwa watumiaji na kuondoa vitu visivyo na maana kwenye taarifa wanazosoma.

Kitufe hiki kitasababisha “kuzika” maoni na watu wanazichapisha. Hata hivyo hili linaweza kuleta maswali mengi kuhusu uzuiaji wa taarifa (censorship) na maoni yapi yanatakiwa yawe “yanakarahisha”, “yanapotosha” au “yako nje ya mada”.

Muanzilishi wa mtandao wa kijamii wa  Reddit, Bwana Alexi Ohanian ameandika kwenye twitter yake kuvutiwa na hatua ya Facebook kuweka kitufe hicho, kitufe kama hicho kimekuwepo kwenye mitandao mingi ya kijamii ikiwemo Reddit ambayo imekipa umaarufu.

Sincerest form of flattery! Wish I’d trademarked it and “upvote” when came up with it. ?? https://t.co/wJMxILChCV

— Alexis Ohanian Sr. (@alexisohanian) February 8, 2018

Kwa habari zaidi za teknolojia endelea kutembelea Mtaawasaba, usisahau kutufuata kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook, Twitter na Instagram, pia usisahau ku subscribe kama bado hujafanya hivyo  ili kupata habari zote za teknolojia kwa haraka kila zinapotoka tu.

KWENYE Facebook
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?