MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Fahamu kuhusu Gari ya Umeme
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Makala > Fahamu kuhusu Gari ya Umeme

Fahamu kuhusu Gari ya Umeme

Imeandikwa na Kato Kumbi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Fahamu kuhusu Gari ya Umeme

Gari la umeme ni gari ambalo linatengenezwa na motor moja au zaidi ya umeme, kwa kutumia nishati zilizohifadhiwa kwenye betri za kuchaji. Magari ya kwanza ya umeme yalizalishwa katika miaka ya 1880. Magari ya umeme yapata umaarufu mwishoni mwa karne ya 19 na mapema karne ya 20, Mwaka 1897 magari ya umeme ndio yalianza kutumiwa kibiashara huko Marekani. Wazalishaji wa magari ya umeme wanaosifika sana kati yao ni Tesla, BMW, Range Rover na makampuni mengine mengi.

Fahamu kuhusu Gari ya Umeme

Unaweza Kusoma

Jinsi ya Ku Activate Windows 11 Matoleo Yote Bure Bila Programu ya Ziada

Vodacom Tanzania waja na M-Pesa visacard

Tofauti kati ya simu za Google Pixel 6 na Pixel 6 Pro

Uchambuzi wa Windows 11: Je unahitaji ku upgrade kutoka Windows 10?

 

Magari ya umeme ni Magari ambayo hufanya uchafuzi wa hali ya chini katika mazingira yanayotuzunguka kuliko magari yanayotumia petroli au diesel, hivyo magari haya ni mazuri kwa mazingira kuliko magari ya petroli (hasa katika miji).

Uhifadhi wa Umeme

Magari haya  ni magari yanayotumiwa na seli na motor ya umeme kushinda magari ya Petroli yanayotumia injini. Magari ya Petroli hutumia injini ambayo inasukumwa na piston kwahiyo huhitaji kutunza mafuta kwa ajili ya kwenda umbali mrefu, Tofauti na magari haya ya umeme yenyewe hutunza umeme kwenye seli (Chipsi zilizoungana) za umeme.

Kucharg gari kunaweza kuchukua muda wa hadi saa, hata hivyo kiasi hiki cha muda kinazidi kupungua kadri teknolojia inavyo endelea kuboreshwa. Kwa sasa kuna miundombinu isiyofaa ya katika magari haya hasa katika kurejea kucharg, ingawa wamiliki wengi hutumia vituo vya nyumbani badala ya miundombinu ya biashara. Vipimo vya gharama za betri na huongezeka kutokana na ukubwa gari unayohitaji.

Fahamu kuhusu Gari ya Umeme

Spidi Na Ubadirishaji Gear

Magari ya Umeme ni Magari yasiyo na injini ya kawaida, Yanatumia motor za umeme ambazo, Pia magari haya yanakuja na automatic transmision amabyo yanaweza kutoka speed ya 0 – 100KM kwa muda usiozidi sekunde 30.

Fahamu kuhusu Gari ya Umeme

 

Magari haya ya umeme bado hayatazamiwa kutumika Tanzania, kwa sasa yanatumika marekani na nachi zilizoendelea kiteknolojia.

Endelea kutufuatilia kwenye mitandao mbali mbali ili usipitwe na Habari, Uchambuzi naMakala mbali mbali ya mitanadoni na ya kiteknolojia kwenye Facebook, Twitter, Instagram, Google+ na Youtube, Pia usisite kutoa maoni yako hapo chini au tuandikie barua pepe kwa [email protected]

KWENYE Range Rover, Tesla
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Miezi 4 iliyopita
NALA yakusanya bilioni 23.1

Kampuni ya huduma za kifedha ya NALA yakusanya bilioni 23.1 za uwekezaji

Mwaka 1 uliopita
Simu zinazotumia Blackberry OS kuacha kufanya kazi kuanzia Januari 4

Simu zinazotumia Blackberry OS kuacha kufanya kazi kuanzia Januari 4

Mwaka 1 uliopita
Google Kutengeneza Miwani Janja (Smartglasses)

Google kutengeneza Miwani Janja (Smartglasses)

Mwaka 1 uliopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?