MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma FMWhatsApp yatumika kusambaza virusi
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > FMWhatsApp yatumika kusambaza virusi

FMWhatsApp yatumika kusambaza virusi

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 2 iliyopita
Sambaza
FMWhatsApp yatumika kusambaza virusi

Imegundulika app ya FMWhatsApp yatumika kusambaza virusi vyenye uwezo wa kusoma SMS kwenye simu ya mtumiaji.  Kampuni ya ulinzi mtandaoni ya Kaspersky imegundua kirusi kwenye toleo lisilo rasmi la WhatsApp (lililochakachuliwa) maarufu kwa jina la FMWhatsApp. Kirusi hiki kwa jina Triada mobile Trojan, hu download virusi wengine kwenye simu ambapo huweza kufungua matangazo na kusoma SMS za mwenye simu husika.

WhatsApp ni moja ya apps maarufu kwa kutuma na kupokea messages, japo kuwa baadhi ya watu hutaka features zaidi kama vile kuweza kusoma status au kuona picha zilizofutwa, hivyo kushawishika kutumia WhatsApp iliyochakachuliwa kwa sababu huzikosa kwenye ile yenyewe.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Wanaochakachua apps hizi hujaribu kuweka matangazo ili kujiingizia kipato, ambapo kwa upande mwingine huwapa fursa matapeli kutumia fursa hii kuingiza virusi kupiti matangazo.

Kwa mfano FMWhatsapp toleo 16.80.0 limeonekana na kirusi aina ya Triada Trojan kwenye code zake. Ambacho kinatumika kama mlango wa kuruhusu virusi wengine kuingia kwenye simu husika.

FMWhatsApp yatumika kusambaza virusi

Kirusi hiki kilicho kwenye FMWhatsApp kinafanya nini:

  1. Kwanza, hukusanya taarifa za kifaa cha mtumiaji kisha,
  2. Hudownload kirusi kingine kwenye simu ya mtumiaji.
  3. Virusi vinaweza kufungua na kuonesha matangazo kwenye simu vyenyewe,
  4. Pia, vitamuunga mtumiaji kwenye huduma za kulipia
  5. Mwisho vina uwezo wa kusoma sms zenye namba ya uthibisho kwenye simu ya mtumiaji, hivyo kumuweka kwenye hatari.

“App hizi zilizochakachuliwa sio nzuri kwa matumizi lakini sio rahisi kwa watumiaji kuziacha kwa sababu zina vitu vile wanavyovihitaji, hii huwaweka katika hatari ya kukumbwa na wahalifu wa mitandaoni. Nashauri watumiaji wajikite katika kutumia apps zinazotoka kwenye app store zinazoeleweka hata kama hazina makorokoro mengi,” alisema bwana Igor Golovin, ambaye ni mtaalam wa maswala ya ulinzi kwenye kampuni ya Kaspersky

 

Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?