iOS 15 na iPadOS 15 zaachiwa: mambo 7 mapya unayotakiwa kuyafahamu

Mwandishi Alexander Nkwabi
Apple leo wameachia masasisho makubwa ya mifumo endeshi yake ya simu za iPhone na tableti za iPad yani iOS 15 na iPadOS 15.

Kwenye tukio la uzinduzi wa iPhone 13 la Apple event ilitangazwa kuwa masasisho haya yataachiwa leo jumatatu, katika tukio hilo tuliona pia uzinduzi wa bidhaa zingine mbali na simu za iPhone, ambazo ni pamoja na iPad mpya pamoja na saa janja za Apple Watch Series 7.

 

Mwandishi Alexander Nkwabi Mhariri
Mitandao ya Kijamii
Alex ni mhariri mwandamizi hapa Mtaawasaba.com, kwa kipindi kirefu amekuwa akivutiwa na mfumo endeshi wa Android na michezo ya kompyuta. Alex akiwa haandiki hapa Mtaawasaba basi hupendelea kupiga picha, kusafiri na kusoma vitabu.
Maoni yako

Trending on Mtaawasaba

Receive Mtaawasaba notifications Click ‘Receive,’ then ‘Allow’ when prompted. Dismiss Receive