MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Jinsi Fingerprint sensor inavyofanya kazi juu ya kioo cha simu
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Jinsi Fingerprint sensor inavyofanya kazi juu ya kioo cha simu

Jinsi Fingerprint sensor inavyofanya kazi juu ya kioo cha simu

Imeandikwa na Kato Kumbi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Jinsi Fingerprint sensor inavyofanya kazi
Kipindi kirefu kimepita tangu uvumi wa Sensa ya kidole kuwekwa juu ya kioo cha simu cha kuonesha, Tumezoea kuona ulinzi wa sensa ya kidole (Fingerprint) kuwekwa chini mwisho wa mipaka ya kioo au nyuma ya simu, Kampuni kama Apple na Samsung zilitarajiwa kuifanya teknolojia hii kabla ya kufikiri makampuni mengine, Lakini mwanzoni mwa mwaka huu kampuni ya VIVO imefanikiwa katika hilo na kuweza kuzindua Simu yao mpya iliyowekwa Sensa ya kidole juu ya kioo cha simu cha kuonesha. Chapisho hili litakuelezea kwa kina Jinsi Fingerprint sensor inavyofanya kazi.

 

Jinsi Fingerprint sensor inavyofanya kazi juu ya kioo cha simu

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Kwa hali ya kawaida ni ngumu kuamini kuwa unaweza kuweka ulinzi wa kidole juu ya kioo cha simu yako lakini hapa utapata majibu ya swali lako kuhusu Sensa hiyo.

Kwanza kabisa kabla ya yote Ungependa kujua Sensa ya kidole (Fingerprint) ni nini?

Sensor ya kidole ni kifaa cha umeme kinachotumiwa kukamata picha ya digital ya muundo wa vidole. Picha iliyokuwa captured inaitwa live scan. Scan hii inafanya mchakato ili kuunda template ya biometri (mkusanyiko wa vipengee vilivyotengwa kwenye kidole) ambavyo vinahifadhiwa na kutumika kwa kulinganisha data hizo. Teknolojia nyingi zimetumika ikiwa ni pamoja na macho (Iris Scarner au FaceID), Vifaa vingi vimekuwa vikitumia mfumo huu wa Sensa ya kidole kama mfumo wa ulinzi kwenye simu yako na imekuwa ikisaidia sana hasa katika jamii yetu ya Tanzania.

Simu nyingi zinazoundwa miaka hii zimekuwa ni simu za kuweka karibia asilimia 99 ya kioo kuonekana na kupelekea baadhi ya vitu kufikiria pa kuviweka ikiwa bado vina umuhimu katika ufanyaji kazi wa simu, hasa katika uli, makampuni mengine kama Google Pixel, Samsung S8, S8 plus, Huawei, Tecno wao waliona kuhamishia Sensa ya kidole nyma ya simu, lakini bado imekuwa ni Tatizo kwa wwatu wengine hata katika kupeleka kidole nyuma ya simu.

Jinsi Fingerprint sensor inavyofanya kazi juu ya kioo cha simu

 

Jinsi Sensa Inavyofanya Kazi

Simu ya kwanza kuwekwa Sensa ya kidole juu ya kioo cha kuonesha ni VIVO, Sensa hii imewekwa ndani ya kioo cha simu upande wa chini, ambayo inapitisha mionzi yake juu ya kioo na kuweza kutambua alama za vidole. Katika hardware sensa hiyo iko chini ya kioo ambayo unaweza ukaiona kama utaweza kuitazama kwa makini, Ni sensa ambayo ni transparent iliyowezeshwa kukaa juu ya kioo na kutambua vipengele vya kidole kama zilivyo sensa za kawaida. Tofauti niliyoipata katika simu hii ni kwamba bado haijaweza kufuta historia ya sensa za kawaida kwakuwa bado inafanya kazi taratibum unaweza tumia kama sekunde 1.5 kufungua simu ukilinganisha na sensa za kawaida mabazo zinafungua simu chini ya sekunde moja.

Natumai Somo hili limekunufaisha kwa namna moja ama nyingine, Endelea kuwa nasi kwa kutufuata kwenye mitandao ya kijamii, na usisahau ku subscribe ili uwe wa kwanza kupata Habari, Uchambuzi na Makala mbali mbali za kisayansi na teknolojia. Pia usisahau ku acha maoni yako hapo chini na unaweza kuwasiliana nasi kwa barua pepe [email protected]

Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
1 Comment
  • Avatar of Capacity inc Capacity inc anasema:
    Miaka 5 iliyopita kwa 07:03

    Ni nooooooma sana..good job chali…keep it up

    Jibu

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?