MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Kampuni ya Nokia kuungana na Vodacom Kueneza teknolojia mpya ya 5G
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Chaguo la Mhariri > Kampuni ya Nokia kuungana na Vodacom Kueneza teknolojia mpya ya 5G

Kampuni ya Nokia kuungana na Vodacom Kueneza teknolojia mpya ya 5G

Imeandikwa na Kato Kumbi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Kampuni ya Nokia kuungana na Vodacom Kueneza teknolojia mpya ya 5G

Nokia na Vodacom wametangaza ushirikiano kati ya makampuni haya mawili kushirikiana katika majaribio ya mtandao kuanza kutumia teknolojia ya Nokia 5G ambayo pia itawawezesha Vodacom kuendeleza digitali kwa manufaa ya biashara na watu binafsi Africa.

Kampuni ya Nokia kuungana na Vodacom Kueneza teknolojia mpya ya 5G

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Nokia itashiriki uvumbuzi wake wa hivi karibuni wa 5G ikiwa ni pamoja na kuzindua Antennas nyingi za kupitisha MIMO, AirScale Radio Access, AirGile Cloud-native Core, Multi-Access Edge Computing, na end-to-end Mobile Anyhaul transport networks ili kuchunguza jinsi ya kuweza kutumiwa kulingana na mahitaji yanayohitajika.

Makampuni yatazingatia utoaji wa huduma za video za kweli za Ultra-HD na virtual, kwa kutumia kiwango kikubwa cha mobile broadband na ultra-low latency capabilities za 5G. Vodacom na Nokia pia watashirikiana kutambua jinsi gani 5G itaweza kuendesha ukuaji wa uchumi katika viwanda muhimu kwa ikiwa ni pamoja na viwanda vya madini, huduma za afya, vyombo vya habari, nishati na usafiri.

Kampuni ya Nokia kuungana na Vodacom Kueneza teknolojia mpya ya 5G

Andries Delport, Afisa Mkuu wa kitengo cha Teknolojia ya Vodacom alisema hivi: “Kama mtoa huduma wa mtandao wa simu za mkononi Afrika, na mitandao bora ya 3G na 4G, ilikuwa muhimu kwa sisi kushirikiana na kampuni yenye kuvutia kama Nokia kama tunavyojishughulisha kwenye kizazi kijacho cha mitandao. Ushirikiano huu unakuja wakati ambapo tuna mamlaka imara kutoka kwa Bodi ya Vodacom kuhamasisha Vodacom Group kuwa kampuni inayoongoza ya digitali. Ni imani yangu imara kuwa kupitishwa kwa 5G kutatusaidia kutoa baadhi ya teknolojia za digital katika maeneo kama vile uchambuzi mkubwa wa takwimu, ukweli halisi na uliodhabitiwa, autonomous vehicles na Mambo ya internet. Kwa kifupi kabisa, Afrika teknolojia ya 5G itatusaidia kutoa kasi ya mtandao kwa wateja wetu karibu milioni 70 katika”.

Tufuatilie @MtaawaSaba ili usipitwe na Habari, Uchambuzi naMakala mbali mbali ya mitanadoni na ya kiteknolojia kwenye Facebook, Twitter, Instagram, Google+ na Youtube, Pia usisite kutoa maoni yako hapo chini au tuandikie barua pepe kwa [email protected]

KWENYE Nokia, Vodacom
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
1 Comment
  • Avatar of Nuhu Nuhu anasema:
    Miaka 5 iliyopita kwa 01:05

    Watakuwa wametisha balaaa wakifanikisha

    Jibu

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?