MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Kampuni za simu kuboresha usajili wa wateja kwa kutumia alama za vidole
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > Kampuni za simu kuboresha usajili wa wateja kwa kutumia alama za vidole

Kampuni za simu kuboresha usajili wa wateja kwa kutumia alama za vidole

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Kampuni za simu kuboresha usajili wa wateja kwa kutumia alama za vidole

Leo karibu mitandao yote ya simu nchini Tanzania imekuwa ikituma ujumbe mfupi wa maneno kwa wateja wao unaosema “Ndugu mteja katika kuboresha usajili wa laini za simu alama za vidole zitatumika kuanzia Februari 5, 2018. Kwa mawasiliano zaidi tembelea maduka yetu,”

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imesema kampuni za simu za mikononi zitaanza upya kusajili laini za wateja wao kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya kielektroniki inayohusisha uchukuaji wa alama za vidole.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Kampuni za simu kuboresha usajili wa wateja kwa kutumia alama za vidole

Akitoa ufafanuzi, Bwana Semu Mwakyanjala ambaye ni Kaimu meneja mawasiliano kwa umma wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) alipoulizwa na mwandishi wa gazeti la Mwananchi kuuliza kuhusu ujumbe unaotumwa kwa wateja kutoka kampuni za simu za mkononi ukiwajulisha kuhusu usajili wa laini kwa kutumia alama za vidole. alisema

mfumo huo unaotumia alama za vidole na picha ni wenye uhakika ambao ni vigumu kughushi. Walishafanya majaribio kuhusu mfumo huo na kuona unafaa.

“Huu ni usajili wa kielektroniki ambao unaiwezesha kampuni na mamlaka kupata taarifa mbalimbali za mteja kwa muda mfupi,” alisema.

Akifafanua zaidi alisema, TCRA imeziruhusu kampuni zote za simu za mkononi kutumia mfumo huo.

Kampuni ya Airtel itakuwa ya kwanza kuutumia mfumo huo mpya kwa majaribio, aliyasema hayo bwana Jackson Mmbando ambae ni meneja uhusiano wa Airtel Tanzania, anaamini mfumo huu wa kusajili laini za wateja kwa njia ya vidole ni njia salama zaidi.

Mikoa ambayo Airtel itaanza nayo kwa mpango huo wa majaribio utahusisha mikoa minne ambayo ni Dar es Salaam, Pwani, Iringa na Singida. Pia, utafanyika Zanzibar. Ambapo wataanza kwa kusajili wateja wapya kwa kutumia alama za vidole. Ambapo baadaye wataendelea kwa wateja wengine hata ambao walishasajili laini kupitia mfumo wa zamani.

Endelea kutembelea tovuti ya Mtaawasaba ili uweje kujua zaidi ya Airtel ni mitandao ya simu ipi itafuata kwenye utaratibu huu mpya wa kusajili line mpya kwa kutumia alama za vidole.

KWENYE Airtel, TCRA
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?