MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Kiwanda cha Simu za Mkononi kuzinduliwa Zanzibar
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Kiwanda cha Simu za Mkononi kuzinduliwa Zanzibar

Kiwanda cha Simu za Mkononi kuzinduliwa Zanzibar

Imeandikwa na Kato Kumbi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Kiwanda cha Simu za Mkononi kuzinduliwa Zanzibar

Siku chache zijazo Zanzibar inatarajia kujenga Kiwanda cha kuunganisha na kutengeneza simu za mkononi na kusaidia kuongeza ajira kwa wananchi wa visiwa hivyo.

Kiwanda cha Simu za Mkononi kuzinduliwa Zanzibar

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Kutoka katika Gazeti la habari leo la Machi 8 2017 zilisema Kiwanda hicho kitakachoanzishwa hivi karibuni na Kampuni ya U$I ya kutokea Korea ya Kusini, kitaanza kwa kuunganisha vifaa vya simu na baada ya miaka minne kuanza kutengeneza simu kamili.

Kiwanda hicho kwa sasa kitaanza na kkunganisha simu na vifaa va simu na hapo baadae kuazamiwa kuengeneza simu kamili.

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Ayoub Mohamed Mahmoud Alisema kiwanda hicho anachodhani hakuna katika nchi za Afrika Mashariki, kitaanza kwa kuajiri watu 60 hadi 120 kwa kuanzia. Lakini, alisema kwa mtazamo wa wawekezaji, kitaanza uzalishaji wa simu kamili baada ya miaka minne. Alisema kabla ya muda huo, watatoa fursa kwa vijana 10 kutoka Zanzibar kupata mafunzo ya ziada katika maeneo ya uzalishaji simu na kupata shahada za uzamili na uzamivu kwenye teknolojia hiyo, hivyo kuzalisha simu kutoka mkoa huo.

Na pia aliongeza na kusema kwa sasa kuna viwanda vya uzalishaji maji, viwanda vidogo vya nguo, usindikaji wa lami Fumba na kuna kiwanda kinaanza Nyamanzi, kujenga nyumba. Kiwanda hicho kina uwezo wa kujenga nyumba ya kawaida kwa siku tisa.

Mkuu wa mkoa Ayoubu aliendelea na kusema katika uchumi wa viwanda, Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameagiza kuwa katika kila mkoa katika visiwa hivyo vya zanzibar, kila wilaya iwe na kiwanda cha mkakati angalau kimoja na sasa wanaendelea kubainisha maeneo ya viwanda hivyo kujengwa. Kwamba katika mkoa wake, kwa sasa wanaangalia aina ya viwanda vya kuanzisha na upatikanaji wa rasilimali, kwani maeneo mengi yametumika kwa makazi na yaliyobaki yanatumika kwa kilimo cha mazao ya viungo mbalimbali.

Tuandikie maoni yako kuhusu habari hii hapo chini na endelea kufuatilia habari kutoka mtaawasaba.com, Pia usisahau kusubscribe katika chanel yetu ya Youtube kupata habari zaidi za teknolojia kila wiki.

Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?