MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Kutoka MWC 2018: HMD Global yazindua simu nne za Nokia kwa mpigo
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > Kutoka MWC 2018: HMD Global yazindua simu nne za Nokia kwa mpigo

Kutoka MWC 2018: HMD Global yazindua simu nne za Nokia kwa mpigo

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Kutoka MWC 2018: HMD Global yazindua simu nne za Nokia kwa mpigo
Yaliyomo
Nokia 1Nokia 6 (2018)Nokia 7 PlusNokia 8 Sirocco

HMD Global kampuni inayotengeneza simu za Nokia leo imezindua simu nne kwa mpigo ikiwemo Flagship yake ya kwanza tangu waanze kutengeneza simu zenye nembo ya Nokia na simu ingine ambayo ni moja ya simu za mwanzo kabisa kutumia toleo la Android One hasa toleo la Go. Haya yamejiri katika onesho waliloandaa kwa ajili ya uzinduzi wa simu hizi kwenye kongamano la MWC 2018.

Nokia 1

Kutoka MWC 2018: HMD Global yazindua simu nne za Nokia kwa mpigoSimu hii inatarajiwa kuuzwa kwa dola za kimarekani 85 ambazo ni takribani shilingi laki 2 za kitanzania. Itaanza kuuzwa kuanzia mwezi wa nne 2018. Simu hii inakuja na rangi mbili Nyekundu na bluu iliyokoza. Nokia 1, ambayo ni simu ya bajeti ndogo inayotumia Android Oreo Go Edition. Baadhi ya sifa za simu hii ni kioo chenye upana wa inchi 4.5, Kamera yenye 5-megapixel na LED flash, pia ina kamera ya selfie yenye 2-megapixel, sifa zingine ni mfumo endeshi ni inatumia ni Android Oreo Go. Simu hii inakuja naBetri inayotoka yenye 2,150 mAh. Sifa zaidi soma kwenye uchambuzi wa simu hii. Simu hii itakuwa optimized kutumia Go apps ambazo baadhi ni app za google ikiwemo YouTube, Gmail, Gboard, Assistant na zingine nyingi.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Nokia 6 (2018)

Kutoka MWC 2018: HMD Global yazindua simu nne za Nokia kwa mpigo

Jina halisi la simu hii ni Nokia 6 (second generation) na inaonesha itakuwa na karibu sifa nyingi za mtangulizi wake aliyetoka mwaka jana Nokia 6 (2017). Simu hii inakuja na mfumo endeshi Android Nougat ambapo inaweza kupandishwa hadhi mpaka Android Oreo.

Simu hii inakuja na chip ya Qualcomm Snapdragon 630 (mtangulizi wake alikuja na Snapdragon 430) pia inakuja na teknolojia ya kurekodi sauti ya OZO, na itakuwa na Bothie photo mode kwenye upande wa kamera. Uchambuzi wa simu hii usome hapa

Nokia 7 Plus

Kutoka MWC 2018: HMD Global yazindua simu nne za Nokia kwa mpigo

Simu hii ni kaka mkubwa wa Nokia 6 hii toleo jipya maana zinafanana kwa ujumla. Simu hii inakuja na kioo kikubwa chenye upana wa inchi 6 na resolution ya 2220×1080 ambayo ni sawa na uwiano wa 18:9. Kamera zilizoboreshwa kabisa zenye 12-megapixel wide aperture sensor na 13-megapixel telephoto kwa upande wa nyuma, pia kamera yenye 16-megapixel kwa mbele. Simu hizi zina nembo maarufu ya Zeiss

 

 

Nokia 8 Sirocco

Kutoka MWC 2018: HMD Global yazindua simu nne za Nokia kwa mpigoKulikuwa na tetesi za Nokia 9 kuzinduliwa China mwaka huu mwanzoni, ila kumbe ilikuwa ni Nokia 8 Sirocco. Simu hii ambayo ndiyo simu yenye sifa kubwa kuliko zote ambazo mpaka sasa zimetengenezwa chini ya HMD Global inakuja na prosesa ya Snapdragon 835, RAM 6GB na ina nafasi ya 128GB na itakuwa na mfumo endeshi wa Android One. Simu hii ambayo itaanza kupatikana nchi za ulaya kuanzia mwezi wa nne mwaka huu inatarajiwa kuuzwa kiasi cha euro 749.

Uchambuzi zaidi kuhusu smu hii unakuja muda si mrefu.

 

KWENYE HMD GLOBAL, Nokia 1, Nokia 6 (2018), Nokia 7 Plus, Nokia 8 Sirocco
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?