MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Laptop hii itakufaa kwa matumizi ya Nyumbani, Ofisini na Safarini
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > Laptop hii itakufaa kwa matumizi ya Nyumbani, Ofisini na Safarini

Laptop hii itakufaa kwa matumizi ya Nyumbani, Ofisini na Safarini

Imeandikwa na Kato Kumbi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Laptop hii itakufaa kwa matumizi ya Nyumbani, Ofisini na Safarini

Kampuni ya kichina inayojihusisha kutengeneza smartphones, TV, Earphone na Powerbank zinazojulikana sana Xiaomi, Mwaka 2016  kwa mara ya kwanza ilizindua Laptop yake ya kwanza Xiaomi Mi NoteBook. Xiaomi inakuja kwa aina mbili tofauti, kwa ukubwa wa 13.3-inch na 12.5-inch. Laptop za kwanza kufanana na MacBook Air, ambazo zinakuja katika ukubwa wa 13.3-inch na 11.6-inch.

Mi Notebook ni nyembamba kuliko Macbook, wakati Apple ya 13.3 inch ikiwa na wembamba wa 17mm na uzito wa 1.35kg, Inch 13.3 ya MiBook ina wembamba wa 14.8mm na uzito wa 1.28kg.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Na Macbook Air ya 12.5 inch ina wembamba wa 17mm na uzito wa 1.08kg, MiBook yenyewe ina wembamba wa 12.9mm na uzito wa 1.09kg tu.

Laptop hii itakufaa kwa matumizi ya Nyumbani, Ofisini na Safarini
Xiami Notebook 13.3” na Macbook 13.3”

Hapa nimefananishishia na Laptop za Apple Macbook kwakuwa laptop za Macbook ni very popular, Laptop ya Xiaomi Notebook ni rahisi kubebeka na ni nyepesi kushinda ya Macbook, Mfano katika laptop ya 12.5 inch ina uzito wa 1.09kg tu na body ya Aluminium kwa laptop nzima!Laptop hii itakufaa kwa matumizi ya Nyumbani, Ofisini na SafariniXiaomi Notebook: Design & Specification

Xiaomi Notebook Zimetengenezwa kwa Aluminium Body na zinakuja kwa Aina mbili tofauti, ile ya Inch 13.3 na ile ya Inch 12.5, Processor ya Intel Core M3 na Intel Core i5, Zote zikiwa na Onboard RAM ya 4gb, na 8gb tu, Pia Kwa storage Xiaomi imeinclude Onboard SSD kuanzia 128GB, 256GB na 512GB Inategemea na chaguzi utakalofanya wakati wa kununua.

Xiaomi Notebook ina Graphic User Interface GPU ya Nvidia GeForce 940MX inayokutosheleza kabiosa kwa ajili ya kazi zako ya Kudesign mfano Adobe Photoshop, Kuplay Games zenye Graphic kubwa kama FIFA 2017.

Xiaomi Mi Notebook inakuja na Pre-Installed Microsoft Windows 10, Operating System ambayo ni Popular kwa  Siko la computer duniani inayotumia na computer nyingi dunia zilizobase kwa IBM kama HP, Lenovo, Dell na Acer na unaweza ku update mpaka Windows 10s yenye ulinzi Zaidi.

Laptop hii itakufaa kwa matumizi ya Nyumbani, Ofisini na Safarini

Xiaomi Notebook: Battery & Colours

Ninatumia Simu ya Xiaomi Mi5 zaidi ya miezi mitano sasa, naweza sema kampuni ya Xaomi ni kampuni inayojitahidi kutengeneza battery zeney ubora katika vifaa vyao, Na sasa ni wiki na nusu Natumia Laptop hii ya Xiaomi 13.3 Inch yenye 40Wh Batterry natumia Zaidi ya masaaa 12 bila kuchomeka charg.

Iko hivi naweza kuondoka asubuhi kwenda kazini nikaacha charg yangu ya laptop nyumbani nikaenda kazini na kufanya kazi zangu nikarudi jioni na bado laptop ina charg ya kuendelea na kazi nyingine.

Laptop hizi zinakuja na Rangi mbili tofauti katika hii ya 13.3 ni Gold na Spacegray au Silver, (Mini natumia ya Silver) na vivyo hivyo kwa laptop ya inch 12.5

Laptop hii itakufaa kwa matumizi ya Nyumbani, Ofisini na Safarini

Xiaomi Notebook: Bei na Upatikanaji

Kwa sasa sina uhakika wa duka hapa Tanzania linalouza Laptop za Xiaomi lakini unaweza agiza Ebay au Aliexpress kwa Bei ya 600USD bei rahisi kabisa ukilinganisha na tumiaji ya Macbook.

Tufuatilie @MtaawaSaba ili usipitwe na Habari, Uchambuzi naMakala mbali mbali ya mitanadoni na ya kiteknolojia kwenye Facebook, Twitter, Instagram, Google+ na Youtube, Pia usisite kutoa maoni yako hapo chini au tuandikie barua pepe kwa [email protected]

KWENYE Apple, Xiaomi
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?