MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma LG waonesha TV kubwa zaidi duniani yenye teknolojia ya 8K
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > CES 2018 > LG waonesha TV kubwa zaidi duniani yenye teknolojia ya 8K

LG waonesha TV kubwa zaidi duniani yenye teknolojia ya 8K

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
LG waonesha TV kubwa zaidi duniani yenye teknolojia ya 8K

Kuelekea maonesho ya vifaa vya teknolojia ambayo hufanyika nchini Marekani. Kampuni ya Korea kusini ya LG ambayo ni mashuhuri kwa vifaa vya kielektroniki imeonesha TV yenye ukubwa wa inchi 88 na kioo cha OLED chenye uwezo wa kuonesha mpaka 8K.

LG waonesha TV kubwa zaidi duniani yenye teknolojia ya 8K
kioo cha TV ya LG chenye ukubwa wa inchi 88 na 8K

TV ambayo ni kubwa kabisa kwa sasa pia imetengenezwa na LG na ina ukubwa wa inchi 77 yenye kioo cha OLED na uwezo wa 4K.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Kampuni pinzani ambayo nayo ni ya Korea kusini ya Samsung yenyewe imejikita kwenye kutengeza TV kwa teknolojia ya QLED ambapo unaweza kupata TV yenye ukubwa wa inchi 88 ambayo ni 4K kwa gharama nafuu zaidi.

Kwa sasa runinga zenye uwezo wa kuonesha picha yenye ukubwa 4k zinazidi kuwa maarufu duniani kote na gharama zake zinazidi kuwa nafuu.

Endelea kuwa nasi tuijiandaa kukumulikia mambo mbalimbali yatakayotokea kwenye maonesho ya CES yatakayoanza juma lijalo.

KWENYE LG
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?