MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Netflix kulipisha zaidi wanaochangia password
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Netflix kulipisha zaidi wanaochangia password

Netflix kulipisha zaidi wanaochangia password

Imeandikwa na Emmanuel Tadayo Mwaka 1 uliopita
Sambaza
Netflix kulipisha zaidi watumiaji wanaochangia password

Ni ukweli usiopingika karibu kila mtumiaji wa Netflix mwenye akaunti anashea password na ndugu au marafiki. Utaratibu huu wa kushea password umekuwepo tangu kuanzishwa kwa Netflix, lakini siku si nyingi unaelekea kufikia ukomo.

Siku ya jumatano, kumekuwa na taarifa za kuwa Netflix kulipisha zaidi watumiaji wanaochangia password. Netflix wameanza kufanyia majaribio njia mpya za kudhibiti wanaoshea password, njia moja wapo inayofanyiwa majaribio ni kuwataka kulipia kama wanataka kushea password.

Taarifa hiyo inasema “kitendo cha watumiaji zaidi ya mmoja kushea akaunti kinapunguza uwezo wao (Netflix) kuwekeza zaidi kwenye michezo ya kuigiza na filamu mpya kwa ajili ya watazamaji wao”

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Netflix wamesema wataanza kufanya majaribio ya mwanzo kwa nchi za Chile, Costa Rica na Peru, ambapo watumiaji watakuwa wanapata ujumbe utakaowaruhusu kuongeza watumiaji kwenye akaunti zao kwa kulipia kiasi kidogo cha fedha.

Pia watumiaji katika maeneo hayo waliolipia vifurushi vya Standard na Premium watapewa uwezo wa kuongeza akaunti ndogo ambazo zitakuwa na uwezo wa kuweka hadi watu wawili ambao hawaishi pamoja, ambao wataweza kuwa na profile zao, email na password zao, na pia watapata mapendekezo binafsi ya filamu na michezo ya kuigiza.

Je, umeridhika na Netflix kuongeza gharama kwa kuchangia password?

 

KWENYE netflix
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?