MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Qualcomm: Simu za kwanza kuwa na teknolojia ya 5G zitatoka mwaka 2019
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Chaguo la Mhariri > Qualcomm: Simu za kwanza kuwa na teknolojia ya 5G zitatoka mwaka 2019

Qualcomm: Simu za kwanza kuwa na teknolojia ya 5G zitatoka mwaka 2019

Imeandikwa na Kato Kumbi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Qualcomm: Simu za kwanza kuwa na teknolojia ya 5G zitatoka mwaka 2019

Kwa mujibu wa ripoti za hivi karibuni, inaonekana kwamba kampuni za mawasiliano ya simu zina hamu kabisa kutekeleza 5G haraka iwezekanavyo. Mtengenezaji mkubwa wa Chip za Qualcomm hivi karibuni alitangaza kuwa wazalishaji 18 wa Simu za Mkononi watakua na modem yake ya 5G kuanzia mwaka 2019. Orodha hii ni pamoja na Sony, Asus, LG, HTC, Nokia / HMD, Xiaomi, Oppo, Vivo, ZTE, Sharp, Fujitsu, na wengine.

Qualcomm: Simu za kwanza kuwa na teknolojia ya 5G zitatoka mwaka 2019

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Makamu wa raisi wa Qualcomm Technologies, Inc. bwana Alex Katouzian alisikika akisema, Qualcomm Technologies imejidhatiti kusaidia wateja wake (watengenezaji wa simu janja na vifaa vingine) kusambaza teknolojia hii ya kizazi kijacho ya 5G kwa watumiaji wa mwisho, ambapo simu zitahitaji kuwa na modemu ya Snapdragon X50 5G.

Ujio wa teknolojia hii ya 5G utapanua wigo wa utendaji kazi wa vifaa vya mkononi, ambapo kasi ya upakuaji itaongezeka sana kwa watumiaji wa simu za mkononi.

Kwa sasa nchini Tanzania, teknolojia ya 4G inajitahidi kusambaa kwa kasi ya kuridhisha ambapo mpaka sasa si makampuni yote ya simu yanatoa huduma hiyo. Makampuni ya Simu ikiwemo Vodacom Hapa Tanzania zinatamani sana kutekeleza mtandao wa 5G haraka iwezekanavyo. Teknolojia mpya inayoahidi kufikia kasi ya hadi 1Gb/s (Gigabit Moja kwa Sekunde) katika kupakua, na kupunguza uthabiti.

Hata hivyo Apple na Samsung haijaonekana kwenye orodha ya Utekelezaji huu wa Chip za 5G japo Samsung ilitangaza makubaliano hayo ya kuweka chip za 5G.

Tufuatilie kwenye mitandao mbali mbali ili usipitwe na Habari, Uchambuzi naMakala mbali mbali ya mitanadoni na ya kiteknolojia kwenye Facebook, Twitter, Instagram, Google+ na Youtube, Pia usisite kutoa maoni yako hapo chini au tuandikie barua pepe kwa [email protected]

KWENYE Asus, Fujitsu, HMD GLOBAL, HTC, LG, Nokia, Oppo, Qualcomm, Sharp, Sony, Vivo, Vodacom, Xiaomi, ZTE
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?