MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Apple waonya: Pikipiki chanzo cha kuharibu simu za iPhone
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Apple waonya: Pikipiki chanzo cha kuharibu simu za iPhone

Apple waonya: Pikipiki chanzo cha kuharibu simu za iPhone

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 2 iliyopita
Sambaza
Apple waonya: Pikipiki chanzo cha kuharibu simu za iPhone
Kama wewe ni mpandaji mzuri wa bodaboda au pikipiki, basi unatakiwa uiweke simu yako ya iPhone mfukoni. Katika chapisho liliwekwa kwenye tovuti ya Apple, Apple waonya kwamba Pikipiki chanzo cha kuharibu simu za iPhone. wameandika kuiweka simu yako karibu na mitikisiko hupunguza ubora wa ufanyaji kazi wa kamera ya iPhone. Apple walisisitiza mitikisiko hiyo ni ile ya injini za pikipiki.

“Mitikisiko ya juu hasa inayotokana na injini kubwa za pikipiki inaweza kushusha ubora wa mfumo wa kamera,”  

Apple watoa ufafanuzi

Kamera za iPhone zinatumia teknolojia kama vile optical image stabilization na closed-loop autofocus ambazo hukinzana na mitikisiko au mwendo ili kutengeneza picha angavu. Lakini sasa mitikisiko mikubwa ya pikipiki inaweza kuathiri ufanyaji kazi wa teknolojia hizi na kuitumia simu muda mwingi kwenye pikipiki husababisha simu kushindwa kutoa picha kali. Apple wameandika.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Kwa mujibu wa Apple, angalizo hili haliwagusi sana watu wanaotumia pikipiki ndogo au pikipiki zinazotumia umeme aina ya “mopeds” na “scooters”.

KWENYE Apple
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?