MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Samsung Galaxy S9: kuzinduliwa Februari 25
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > Samsung Galaxy S9: kuzinduliwa Februari 25

Samsung Galaxy S9: kuzinduliwa Februari 25

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Samsung Galaxy S9: kuzinduliwa Februari 25

Ni muda sasa kumekuwa na tetesi za simu mpya kutoka kwa kampuni mashuhuri ya kutengeneza vifaa vya ki elektroniki ya Samsung. simu hizo ni Samsung Galaxy S9 na Samsung Galaxy S9+.

Katika tangazo la kuwakaribisha watu wa habari katika uzinduzi wa simu hizo ambalo wao huliita “Unpacked” limetoka likionesha tarehe ya uzinduzi kuwa ni mwezi wa pili tarehe 25 ikiwa ni siku moja kabla ya kuanza kongamano kubwa la wadau wa mawasiliano ya vifaa mkononi (mobile) linalojulikana kama Mobile World Congress ambalo litafanyika huko Barcelona Hispania kuanzia tarehe 26 mwezi wa pili mpaka tarehe 1 mwezi wa tatu.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Samsung Galaxy S9: kuzinduliwa Februari 25
Tangazo la mualiko kutoka Samsung

Taarifa zilizovuja kuhusu simu za Samsung Galaxy S9 na S9+ zinaonesha mabadiliko kadhaa yanayokuja na simu hizi mbili ikiwemo sehemu iliyopo finger print sensor itakuwa chini ya kamera tofauti na watangulizi wake S8, S8+ na Note8 kuwa na fingerprint sensa pembeni ya kamera na kufanya iwe ngumu kwa watumiaji kuifikia.

Pia inasemekana kutakuwa na maboresho makubwa kwenye kamera ambapo S9+ inasemekana itakuwa na kamera mbili kwa nyuma. Taarifa zilizovuja zinaonesha S9 itakuwa nakioo chenye ukubwa wa inchi 5.8 QuadHD+ AMOLED, kamera ya nyuma yenye megapikseli 12 na ya mbele yenye megapkseli 8. Pia RAM 4GB na uwezo wa kuzuia vumbi na maji.

Samsung Galaxy S9: kuzinduliwa Februari 25
Muonekano wa Samsung Galxy S9 na S9+ kama ilivooneshwa na mvujishaji maarufu Evan Blass

Simu zote mbili zinatarajiwa kuwa na sehemu ya kuchomeka head phone, hata ivyo utaweza kutumia headphone zenye waya na ambazo hazina.

Endelea kutembelea Mtaawasaba.com kwa taarifa zaidi za kiteknolojia ambazo tunaendelea kukupa kila zinapojitokeza

KWENYE Galaxy S9
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?