MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Siri ya TECNO kuongoza zaidi ya Asilimia 50% kuuza bidhaa nyingi Tanzania.
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > Siri ya TECNO kuongoza zaidi ya Asilimia 50% kuuza bidhaa nyingi Tanzania.

Siri ya TECNO kuongoza zaidi ya Asilimia 50% kuuza bidhaa nyingi Tanzania.

Imeandikwa na Kato Kumbi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Siri ya TECNO kuongoza zaidi ya Asilimia 50% kuuza bidhaa nyingi Tanzania.
Yaliyomo
Kwanini inaendelea kufanya vizuri katika Soko la Afrika hususani Tanzania?1: Kuzalisha smartphone za Bei ya chini2: Betri inayotunza umeme kwa muda mrefu3: Kutoa huduma na kujali wateja4: Kujua Mahitaji ya Wateja Wake
Kampuni ya TECNO ni kampuni ya Kichina inayojohusisha na uzalishaji wa bidhaa za kielectroniki hususani simu za mkononi. Kampuni ya Tecno ilianzishwa mnamo mwaka 2006 chini ya Tecno Telecom Limited lengo lake kuu ikiwa ni kuzalisha Simu za bei nafuu zaidi ikilenga soko la Afrika. Na hii ndiyo Siri ya TECNO kuongoza zaidi ya Asilimia 50% kuuza bidhaa nyingi Tanzania.
Siri ya TECNO kuongoza zaidi ya Asilimia 50% kuuza bidhaa nyingi Tanzania.
Tecno P3

TECNO ilianza kuzalisha simu ya Smartphone ya kwanza mwaka 2012 TECNO P3 ambayo ndio ilikuwa smartphone ya kwanza kuuzwa bei nafuu zaidi Tanzania kwa mwaka huo ikifuatiwa na Models kama Tecno N3, M3, P5 kwa mwaka 2013.

Kwanini inaendelea kufanya vizuri katika Soko la Afrika hususani Tanzania?

Siri ya TECNO kuongoza zaidi ya Asilimia 50% kuuza bidhaa nyingi Tanzania.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

1: Kuzalisha smartphone za Bei ya chini

Ninapochagua kununua Smartphone kuna mambo ya kuangazia lakini kabla ya hapo naangalia bajeti ya mfuko wangu. Kampuni ya Tecno ndiyo kampuni inayozalisha smarphone za bei ya chini Afrika hususani Tanzania. Tecno inazalisha simu zinazotumia Chipset Za Mediatek ambazo zinajulikana kuwa ni chipset za gharama nafuu katika utengenezaji.

Siri ya TECNO kuongoza zaidi ya Asilimia 50% kuuza bidhaa nyingi Tanzania.

2: Betri inayotunza umeme kwa muda mrefu

Katika kutunza umeme simu za Tecno ndizo simu zilizoshinda katika ushindani huu, Nimekuwa nikitumia simu ya Tecno Phantom 6 kwa muda wa kipindi cha miezi sita, ilinichukua muda kuizoea simu yangu ya iPhone wakati mwingine ilinibidi kubeba simu yangu ya zamani (Tecno) ninapokuwa safarini kwakuwa simu ya iPhone haimudu kufika safari nzima ukiwa free kutumia Data, kucheza miziki na videos kama ilivyo Tecno. Katika ushindani wa kutunza umeme Tecno imeshinda

Siri ya TECNO kuongoza zaidi ya Asilimia 50% kuuza bidhaa nyingi Tanzania.

3: Kutoa huduma na kujali wateja

Katika hili kampuni ya Tecno imefanikiwa kwa kiasi kikubwa Tanzania kwa kuweza kuweka matawi mengi ya kuhudumia wateja wake na kuanzisha huduma ya Calcare ambayo inamuwezesha mtumiaji kupiga simu na kueleza tatizo la simu yake na kuhudumiwa papo hapo.

Siri ya TECNO kuongoza zaidi ya Asilimia 50% kuuza bidhaa nyingi Tanzania.

4: Kujua Mahitaji ya Wateja Wake

Kitu kimoja nilichokipenda kwa hii kampuni ya Tecno ni kufanya utafiti kwa wateja wake hususani kutambua nini cha kuwapa wateja wao. Ni kampuni chache sana hufikiria kupata maoni kutoka kwa wateja, Lakini kwa kampuni ya Tecno ndio kampuni inayojitolea kufanya Tafiti na kukusanya maoni ya wateja wake kuuliza huduma za bidhaa hizo na kutoa kitu bora zaidi.

Siri ya TECNO kuongoza zaidi ya Asilimia 50% kuuza bidhaa nyingi Tanzania.
Tecno Phantom 8 Toleo la mwisho 2017 

Hayo ni baadhi ya mambo muhimu niliyoyaona katoka kampuni  ya Tecno, Unaweza kutoa maoni yako hapo chini usisite kutuandikia barua pepe [email protected]

Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?