MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Simu isiyoingia maji ya Sony Xperia Z
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Simu isiyoingia maji ya Sony Xperia Z

Simu isiyoingia maji ya Sony Xperia Z

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 10 iliyopita
Sambaza
Sony Xperia Z

Habari njema kwa watu wote, kampuni ya sony wamezindua simu isiyoingia maji, simu iliyopewa jina la Sony Xperia Z inaweza kuzamishwa mpaka futi 3 chini ya maji kwa muda wa mpaka nusu saa bila kuharibika

Watengenezaji wake waliijaribu bafuni, simu zingine kama iphone huaribika haraka iwapo zitaingia maji au kudondoshwa. Sony Xperia Z imefunikwa kwa kioo kinachokunjika na kuzuia kuvunjika, lakini chembamba kwa milimita 7.9
simu hiyo ilizinduliwa kwenye Consumer Electronics Show (CES) huko Las Vegas,

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Sony Xperia Z

simu hiyo pia ina kamera ya hali ya juu yenye – 13 megapixels, yenye nguvu kuliko ile ya iPhone 5 ambayo ni 8 megapixel pekee.

simu hiyo inayotumia android, ina uwezo kuongeza maisha ya betri kwa kuzima programu zisikuwa na umuhimu kwa wakati huo.
pia ina mfumo wa intanet wa 4G connection,na inchi 5 Full HD 1080p.

jiunge nasi kupitia youtube channel yetu

KWENYE Sony, Xperia z
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Maoni 2
  • Avatar of MziziMkavu MziziMkavu anasema:
    Miaka 10 iliyopita kwa 03:21

    Habari nzuri kwa Watumiaji wa Simu ya Sony hongera sana hayo ndio Maendeleo yanayotakiwa.

    Jibu
  • Joe Nyandigira anasema:
    Miaka 10 iliyopita kwa 14:16

    kweli hii ni revolutionary phone.

    Jibu

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?