MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Telegram yashushwa mara bilioni 1 na zaidi, Whatsapp yahusika
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Apps > Telegram yashushwa mara bilioni 1 na zaidi, Whatsapp yahusika

Telegram yashushwa mara bilioni 1 na zaidi, Whatsapp yahusika

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 2 iliyopita
Sambaza
Telegram yashushwa mara bilioni 1
Programu tumizi mashuhuri kwa kutuma na kupokea jumbe ya Telegram yashushwa mara bilioni 1 na zaidi. Telegram imekuwa programu ya 15 kuingia kwenye klabu ya app zilizoshushwa zaidi ya mara bilioni moja, ikiwa nyuma ya WhatsApp, Messenger, Facebook, Instagram, Snapchat, Spotify na Netflix.

kwa mujibu wa mtandao wa techcrunch, ripoti hii imetolewa na taasisi inayojihusisha na ufuatiliaji wa mitandao ya kijamii ya Sensor Tower (ambao huwa hawafatilii apps zinakuja zikiwa zimesanikishwa tayari kwenye simu).

Telegram yenye makao makuu yake huko dubai, ilianzishwa mwaka 2013 ikiwa kama mpinzani namba moja wa programu ingine ya WhatsApp, imefikia mafanikio haya siku ya ijumaa . Kwa mujibu wa Sensor Tower, Telegram inachukua 22% ya programu zilizosanikishwa kwenye simu huko nchini India, ambako ndio ina watumiaji wengi zaidi ikifatiwa na Urusi na Indonesia zenye asilimia 10 na 8 kila moja.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Telegram imewezaje kushushwa zaidi ya mara bilioni moja?

Kwanza kabisa telegram ni app moja nzuri sana, inafanya kazi kama inavotakiwa, haimbani sana mtumiaji na ina vitu vingi vingine ambavyo vinakosekana kwenye app zingine zinazofanya kazi sawa na hii.

hata hivyo umaarufu wa telegram umeongezeka kwa kiasi flani ukichangiwa na WhatsApp, ambayo kwa sasa ndiyo programu tumishi maarufu zaidi duniani ya kutuma na kupokea ujumbe. Miezi michache iliyopita, WhatsApp inayomilikiwa na facebook imeshutumiwa kwa kuwa na sera zisizo linda faragha ya watumiaji ikiwemo sera inayowalazimisha watumiaji  ku share taarifa zao na mtandao wa facebook.

Jambo hili limewafanya watumiaji wengi waamue kuachana nayo japo kwa upande wa matumizi ni rahisi kutumia kama inavotakiwa, na kutafuta njia au program zingine mbadala.

Telegram yashushwa mara bilioni 1 na zaidi, Whatsapp yahusika

Telegram ndio imeibuka kidedea kama app mbadala na hii imesababisha kuongezeka kwa kasi kwa watumiaji wapya hasa kutoka nchi zenye watu wengi wakiongozwa na India ambayo ndio nchi yenye watu wengi zaidi duniani na hii ndio sababu namba moja kuipandisha Telegram mpaka hapo ilipofika.

Japokuwa Telegram imeshushwa mara bilioni 1 haina maana ina watumiaji hai bilioni moja. Telegram ina watumiaji hai takribani milioni 500 kila mwezi, na inawezekana watumiaji hai wameongezeka kwa kipindi hiki ambacho sera za WhatsApp zimekuwa sio rafiki.

Telegram inajitahidi kufanya maboresho kila mara kwa kuleta vionjo mbalimbali kama video calls, kushiriki skrini na vingine vingi, na kuanzia mwezi wa tatu mwaka 2021 walianzisha mfumo kama wa ClubHouse wa voice chat.

Ni app gani unayoipenda kwa ajili ya kutuma na kupokea message? Tuandikie kwenye sehemu ya ku comment hapo chini.

pia usisahau kufuatia channel yetu ya youtube kwa mambo mazuri zaidi ya teknolojia

 

KWENYE telegram
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 3 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 4 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?