MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Tigo, Selcom na Mastercard waungana kuleta huduma ya Masterpass QR nchini Tanzania
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Apps > Tigo, Selcom na Mastercard waungana kuleta huduma ya Masterpass QR nchini Tanzania

Tigo, Selcom na Mastercard waungana kuleta huduma ya Masterpass QR nchini Tanzania

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Tigo, Selcom na Mastercard waungana kuleta huduma ya Masterpass QR nchini Tanzania

Tigo Tanzania kupitia huduma yake ya Tigo Pesa wameungana na kampuni ya malipo kwa njia ya kielektroniki ya Selcom na Mastercard kuleta huduma ya Masterpass Quick Response (QR).

Ushirikiano huu umetangazwa kwenye Kongamano kubwa kabisa duniani la Mobile World Congress (MWC 2018) na kuifanya Tigo kuwa kampuni ya kwanza ya simu kutoa huduma hiyo ambapo wateja wataweza kufanya malipo mahala popote intakapoonekana nembo ya  Mastercard Quick Response

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

tigo Tanzania ambayo ina takribani watumiaji milioni saba waliosajiliwa na huduma ya tigo Pesa wataweza kufanya manunuzi kwa njia hii salama zaidi kuanzia mwezi nne mwaka 2018 kwa scan code ya Quick Response iliyopo kwa wauzaji kupitia app ya Tigo pesa iliyo kwenye simu janja zao. Hata hivyo watumiaji wa simu za kawaida hawakuachwa nyuma kwani watatumia menyu ya USSD na wataingiza namba ambazo zipo kwa muuzaji.

Simon Karikari, ambaye ni Meneja wa Tigo Tanzania alisema Tigo Pesa sio tu huduma ya kuweka na kutoa fedha, bali ni mfumo unaowezesha wateja kupata huduma mbalimbali za kifedha akaongeza Masterpass ni ongezo jipya kwenye huduma zinazotolewa na TigoPesa ili kuendelea kuwarahisishia maisha yao ya kila siku.

Raisi wa Mastercard tawi la Sub-Saharan Africa bwana Raghav Prasad amesema muungano huu ni hatua moja kubwa katika kuboresha usalama kwa wateja linapokuja swala la miamala. Akafanunua zaidi kuwa Afrika karibu asilimia 85 ya manunuzi ya rejareja yanafanyika kwa cash, mfumo salama na unaopatikana kiurahisi ndio jibu sahihi juu ya tatizo hilo.

“Tunahitaji kuhama kutoka malipo kwa cash kwenda kwenye njia ambazo ni salama, na Tigo Pesa wanakuletea huduma ya Masterpass QR ili kufanya ndoto hii kuwa kweli”

“Tunahitaji kuhama kutoka malipo kwa cash kwenda kwenye njia ambazo ni salama, na Tigo Pesa wanakuletea huduma ya Masterpass QR ili kufanya ndoto hii kuwa kweli”

KWENYE Mastercard, Masterpass QR, Selcom, Tigo Tanzania
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
1 Comment
  • Avatar of Jeff Jeff anasema:
    Miezi 8 iliyopita kwa 19:04

    Naipenda

    Jibu

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?