MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Imeandikwa na Kato Kumbi Miezi 4 iliyopita
Sambaza
Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya
Muhtasari
  • Muonekano wa iCloud kwa muda sasa umeonekana kupitwa na wakati, huku ukiwa na muonekano wa maleo ya nyuma ya iOS. Hatimaye Apple wameamua kufanya mabadiliko makubwa kwa upande wa muonekano na ni ya kuvutia sana.

Tovuti ya iCloud ni muhimu ikiwa unataka kufikia haraka baadhi ya programu au huduma ambazo zipo kwenye Mac, iPhone au iPad yako, haswa ikiwa uko kwenye kompyuta usiyomiliki au unatumia PC (yenye mfumo endeshi wa Windows au mifumo isiyo ya Apple).

Muonekano wa iCloud kwa muda sasa umeonekana kupitwa na wakati, huku ukiwa na muonekano wa maleo ya nyuma ya iOS. Hatimaye Apple wameamua kufanya mabadiliko makubwa kwa upande wa muonekano na ni ya kuvutia sana.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Apple inakabiliwa na kesi ya kukusanya taarifa kwenye simu za iPhone bila idhini

Muonekano mpya wa tovuti ya iCloud ambao umeanza rasmi jumatano hii, na kila mtu anayetembelea tovuti hii kuanzia sasa ataweza kuona mabadiliko. Muonekano huu mpya ambao ni vigae (kama ambavyo viko kwenye matoleo mapya ya iOS) ambavyo kila kimoja kina huduma fulani ikiwemo Barua, Picha, Kurasa na zingine zaidi.

Unaweza kubadili mpangilio wa vigae kwenye ukurasa wa mwanzo kadri upendavyo kama huduma ya barua au picha kuwa sehemu unayotaka mwenyewe.

Kuna alama ya kujumlisha upande juu kulia mwa skrini ambapo ukigusa alama hiyo utapata machaguo yakiwemo kuanzisha barua pepe mpya, notes, kalenda, matukio na kumbukumbu. Au unaweza kubofya ili kutengeneza kurasa mpya, namba na zaidi.

Pia kuna chaguo la menyu litakalokuwezesha kusimamia vipengele vya iCloud+ kama vile Hide My Email, iCloud Private Relay na HomeKit Secure Video.

Chini kabisa ya ukurasa kuna taarifa kuhusu mpango wa hifadhi yako ya iCloud kama vile umetumia hifadhi kiasi gani. Pia kuna kipengele cha data recovery kurudisha mafaili yako, bookmarks, majina na kalenda uliyofuta.

Je, umeshaanza kutumia muonekano huu mpya wa iCloud? Ningependa kusikia kutoka kwako, acha maoni yako kwenye kipengele cha maoni hapo chini.

Pia usikose Kutembelea Mtandao Wako Wa Mtaawasaba Kila Siku na kurasa zetu za mitandao ya kijamii ili uednelee kuwa mbele kwenye maswala ya teknolojia.

KWENYE Apple, iCloud
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?