MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Ubora wa Apple iPhone 8, 8 Plus na iPhoneX
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > Ubora wa Apple iPhone 8, 8 Plus na iPhoneX

Ubora wa Apple iPhone 8, 8 Plus na iPhoneX

Imeandikwa na Kato Kumbi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Ubora wa Apple iPhone 8, 8 Plus na iPhoneX
Yaliyomo
UtanguliziMuonekanoUlinziDisplayCamerahitimisho

Utangulizi

Septemba 12 mwanzoni mwa mwezi huu kampuni ya Apple imezindua simu zake tatu ambazo ni iPhone 8, iPhone 8 Plus na iPhoneX ijulikanayo kama (iPhone 10), simu zote tatu zitauzwa kwa makadirio ya kuanzia 699$ (sawa na shilingi 1,565,760) kwa iPhone 8, 799$ (sawa na shilingi 1,789,760) kwa iPhone 8 Plus na 999$ (sawa na shilingi 2,23,760) kwa iPhoneX. Hapa tutaangazia muonekano, na bora wa Apple iPhone 8, 8 Plus na iPhoneX;

Muonekano

Ubora wa Apple iPhone 8, 8 Plus na iPhoneX iPhone 8 na iPhone 8 Plus zimeundwa kwa alluminium body zenye kuwekwa kioo katika shepu yake ya nyuma na zote zinapatikana kwa machanganuo ya rangi ya silver (nyeupe) gold na spacegrey.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

iPhone 8 ni ndogo kwa umbo na nyepesi yenye milimita za msitatili 138.4 x 673 x 7.3mm na yenye uzito wa gramu sizizozidi 148g, wakati iPhone 8 Plus yenyewe ni kubwa kuzidi iPhone 8 yenye milimita za msitatili 158.4 x 781 x 7.5mm na yenye uzito wa gramu zisizozidi 202g.

iPhoneX yenyewe haijatofautiana sana na iPhone8 na 8Plus, imeundwa kwa aluminium boby lakini yenyewe yenye kamera mbili nyma zilizosimama tofauti na iPhone 7 Plus na 8 Plus na kwa zinapatikana kwa rangi mbili tu ambazo ni Silver na Spacegrey, kwa ukubwa iPhoneX ina milimita za msitatili 143.6 x 709 x 7.7 na uzito wa gramu zisizozodi 174g,

Simu zote tatu zinatumiamfumo mmoja wa system charge (Apple lighting USB) na pia hazina port ya headphone jack kama walivyofanya klatika toleo lao lililopita la iPhone 7 na 7 Plus.

iPhone 8 ina lensi moja ya kamera (back camera) yenye uwezo wa Megapixel 12 wakati iPhone 8 Plus na iPhoneX zote zinatumia mifumo ya camera mbili za nyuma yenye uwezo kurekodi 4k videos.

Ulinzi

Kwa upande wa iPhone 8 na iPhone 8 Plus zenyewe zinatumia mifumo ya ulinzi ile tuliyoizoea kama iliyopo kwenhye matoleo ya simu zilizopita kama iPhone 5s, 6, 6Plus, 6s, 6sPlus, 7 na 7Plus (TouchID) kwa simu za Android kama Samsung tunauita FingerPrind ID  iliyopo mbele chini ya kioo katika uso wa simu. Lakini Tukitazamia katika upande wa Device hii mpya iPhoneX yenyewe haitumia mfumo wa TouchID by the way inatumia mfumo mpya unaouitwa FaceID, sio mgeni sana katika technogolia tukikumbuka mwaka 2015 samsung wao walishaunda katika program yao ya android  aina hii ya ulizi, (Tutautazamia Zaidi katika Makala ijayo mfumo huu wa faceid kwa unda usikose)

Ubora wa Apple iPhone 8, 8 Plus na iPhoneX

Display

Apple iPhone 8 ina ukubwa wa inch 4.7 LED-Backlit retina HD Display yenye resolution ya 1334 x 750 Pixel ni sawa ukilinganisha za matoleo ya iPhone 6, 6s na 7.

Apple iPhone 8 Plus yenyewe ina ukubwa wa wa inch 5.5 7 LED-Backlit retina HD Display yenye resolution ya 1920 x 1080 Pixelsawa na ukubwa wa iPhone 6Plus, 6sPlus na 7 Pluskatika matoleo ya zamani ya iPhone.

Kwa upande wa iPhoneX yenyewe imekuja kuwa tofauti kidogo yenye kioo kikubwa na resolution kubwa Zaidi ikilinganishwa na simu zote hapo juu ina ukubwa wa inch 5.8 edge-to-edge OLED Super Retina screen 2436 x 1125 (4k) yenye kioo kilichopinda katika kona zake zote nne inayofanya kuongea uzuri wa simu uwe wa kuvutia Zaidi yenye mwanga unaoendana na mazingira uliyopo iwe ya jua kali au mwanga Hafifu.

Camera

Unapozungumzia ulimwengu wa smartphone basi lazima uiangalizie na ubora wa camera unaopatikana katika simu hiyo,

Apple iPhone 8 ina camera moja nyuma yenye uwezo wa Megapixel 12 yenye uwezo wa kuekodi mpaka resolution ya 4k na megapixel 7 za camera ya mbele kwa ajili ya selfie, facetime na videocall,

iPhone 8 Plus na iPhoneX zenyewe zina camera mbili nyuma zenye uwezo sawa japo katika Ubora wa Apple iPhone 8, 8 Plus na iPhoneXiPhone 8 Plus ikiwa na camera ya kulala na iPhoneX ikiwa ya kusimama, zote mbili hizo zina uwezo wa megapixel 12 back dual camera, ambapo camera ya pili inasupport kuzoom zidi ya 10x, Camera ya mbele haikutofautina na ile ya iPhone 8 ambayo ina megapixel 7 za camera ya mbele kwa ajili ya selfie, facetime na videocall.

Hardware, Specification na Software

Simu zote tatu zimettengenezwana Processor mpya kabisa kutoka Apple ziitwazo A11

Ubora wa Apple iPhone 8, 8 Plus na iPhoneX

Bionic Chip, kwa upande wa iPhone 8 ina 1821mAh za battery na uwezo wa 2gb ya Ram, iPhone 8 Plus ina 2675mAh za battery na uwezo wa 3gb ya ram, Bado hatujapata data kamili kuhusu uwezo wa battery ya iPhoneX lakini yenyewe ina uwezo wa 3gb Ram pia zikiwa zinasupport wireless fast charging tofauti na model za iPhone zilizopita!

Simu zote tatu zinakuja na iOS 11 pre-installed OS kama iPhone Operating System (iOS) na zimegawanyika katika ukubwa wa 64gb ya storage na 256gb tu tofauti na zile za mwanzo kama iphone 7 yenye 32gb, 128gb.

hitimisho

Kwa sasa bado hatujapata bei kamili ambazo tungewezakukadiria kuuzwa katika soko la Tanzania, endelea kuwa nasi tulendelee kukupa updates Zaidi za kiteknolojia pia usisahau kututembelea katika social network kama Instagram, facebook na twitter @MtaaWaSaba

 

 

KWENYE Apple
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?