MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Uzinduzi wa iPhone 13: Jinsi ya kufatilia mubashara kwenye Apple event
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Apple Event > Uzinduzi wa iPhone 13: Jinsi ya kufatilia mubashara kwenye Apple event

Uzinduzi wa iPhone 13: Jinsi ya kufatilia mubashara kwenye Apple event

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 2 iliyopita
Sambaza
Uzinduzi wa iPhone 13: Jinsi ya kufatilia mubashara kwenye Apple event
Leo usiku tarehe 14, kutakuwa na Uzinduzi wa iPhone 13 pamoja na bidhaa zingine kutoka kampuni ya Apple. kupitia chapisho hili tunakuelekeza Jinsi ya kufatilia mubashara Apple event kupitia njia mbalimbali. Twende moja kwa moja kwenye njia hizo.
  1. Kupitia YouTube

hii ndio njia rahisi zaidi kutumia popote pale ulipo duniani cha muhimu uwe na mtandao wa internet tu. Unaweza kufalia mubashara kwa kubofya kitufe hapa chini au kwenda YouTube kwenye channel ya Apple.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

2.  Ukurasa wa Apple Event

unaweza pata tukio zima mubashara kwa kubofya kiunga cha Apple events na moja kwa moja utaweza kutazama tukio hilo

 

Muda wa kuanza Apple Event

Kwa watazamaji walio Tanzania na nchi za jirani, tukio litaanza kuoneshwa mubashara kuanzia saa mbili kamili usiku za afrika ya mashariki

 

Tutarajie nini

unaweza soma chapisho letu linaloonesha ni yapi mazuri tunayotarajia kutoka Apple, bofya hapa kusoma chapisho hilo

KWENYE Apple
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?