MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Xiaomi kuingia kwenye soko la simu Marekani mwishoni mwa 2018
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Chaguo la Mhariri > Xiaomi kuingia kwenye soko la simu Marekani mwishoni mwa 2018

Xiaomi kuingia kwenye soko la simu Marekani mwishoni mwa 2018

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Xiaomi kuingia kwenye soko la simu Marekani mwishoni mwa 2018

Kampuni ya utengenezaji wa simu ya Xiaomi kutoka China inajiandaa kuingia soko la simu nchini Marekani mwishoni mwa mwaka huu au mwanzoni wa 2019. Xiaomi ambayo ni moja ya makampuni makubwa kabisa duniani ya kutengeneza simu miaka ya hivi karibuni imetanua soko lake mpaka India, kusini mashariki mwa Asia, hispania, ulaya mashariki na sasa wanataka kuingia soko la Marekani.

Ripoti mpya iliyochapishwa na jarida la Wall Street Journal linamnukuu Mwenyekiti wa Xiaomi bwana Lei Jun aliesema kuwa “wana mpango wa kuingia soko la marekani mwishoni mwa 2018 au mwanzoni mwa 2019”

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Hata hivyo Xiaomi sio ngeni kwa wamarekani maana tayari wamekuwa wakiuza bidhaa za kielektroniki nchini Marekani kama Android TV  boxes, kamera, spika bila kusahau headphone, lakini hawakuwahi kuingia kwenye soko la simu. Kampuni chache za kutengeneza simu za nje ya marekani zimefanikiwa kuteka soko hilo zikiongozwa na Samsung ya Korea kusini. Kwa upande wa China kampuni ya ZTE imefanikiwa kuwa ya nne kwa uuzaji nchini marekani.

Changamoto kubwa inayowasubiri Xiaomi ambayo pia inawakumba makampuni mengine ya simu kutoka China nchini Marekani ni katazo la serikali ya Marekani kwa wananchi wake kutotumia bidhaa za China kwa sababu za kiusalama wa taarifa zao.

Endelea kuwa nasi @Mtaawasaba na pia usisahau kutufuata katika Social network mbali mbali kwa jina la mtaawasaba, Pia usisahau kusubscribe kwa barua pepe kuweza kupata habari mpya kila zinapoingia, Pia usisite kutoa maoni yako hapo chini! Ahsante sana

KWENYE Xiaomi
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?