MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Yahoo imenunua application iliyotengenezwa na Kijana mwenye umri wa miaka 17 kwa mamilioni ya dola
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Yahoo imenunua application iliyotengenezwa na Kijana mwenye umri wa miaka 17 kwa mamilioni ya dola

Yahoo imenunua application iliyotengenezwa na Kijana mwenye umri wa miaka 17 kwa mamilioni ya dola

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 10 iliyopita
Sambaza
Yahoo imenunua application iliyotengenezwa na Kijana mwenye umri wa miaka 17 kwa mamilioni ya dola

Ni mbunifu wa app ya habari iitwayo ‘Summly’, kijana huyo mwenye umri wa miaka 17 amejikuta amekuwa milionea baada ya Yahoo kuinunua application yake.

Japo haijulikani ni kiasi gani hasa alicholipwa lakini ni mamalioni ya dola.App hiyo itaanza kutumika kwenye products za Yahoo. Summly huchukua habari za mtandaoni na kuzifupisha kuwa na maneno 400 ambazo ni rahisi kusomwa kwenye simu za mkononi.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Yahoo imenunua application iliyotengenezwa na Kijana mwenye umri wa miaka 17 kwa mamilioni ya dola

Pia, mtoto huyo atakuwa mwajiriwa wa Yahoo mwenye umri mdogo zaidi.Nick aliitengeneza app hiyo akiwa na umri wa miaka 25 na kupata uwekezaji kutoka kwa kampuni ya bilionea wa Hong Kong, Li Ka Shing iitwayo Horizons Ventures na kupata shavu kutoka kwa mastaa kama Stephen Fry, Yoko Ono na Ashton Kutcher waliowekeza kwa zaidi ya paundi milioni moja.

App hiyo kwaajili ya simu za iPhone ilianzishwa December 2012 na Summly ilifanya kazi na mitandao zaidi ya 250 duniani.

Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
1 Comment
  • Avatar of nyasiro nyasiro anasema:
    Miaka 10 iliyopita kwa 18:21

    mhhhh! naona uhai wa yahoo unarudirudi! hivi ule mpango wa microsoft kuinunua yahoo uliishia wapi?

    Jibu

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?