MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Facebook na Ray-Ban waja na miwani janja yenye uwezo wa kupiga simu, picha na zaidi
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > Facebook na Ray-Ban waja na miwani janja yenye uwezo wa kupiga simu, picha na zaidi

Facebook na Ray-Ban waja na miwani janja yenye uwezo wa kupiga simu, picha na zaidi

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 2 iliyopita
Sambaza
Facebook and Ray-Ban waja na miwani janja
Ni takribani miaka saba sasa tangu kampuni ya Google ilipokuja na bidhaa yake ya Google Glass iliyoshindwa kabisa kuteka soko la wapenzi wa teknolojia mpya, na miaka mitano iliyopita Snapchat walikuja na Spectacles, miwani janja ambayo haikuteka soko pia lakini bado ipo sokoni. Leo Facebook na Ray-Ban waja na miwani janja yenye uwezo wa kupiga na kupokea simu, picha, kurekodi video, kucheza podcast na zaidi.

Miwani janja hii iliyopewa jina la Ray-Ban Stories, tayari imeingia sokoni na kwa sasa inapatika katika nchi za Marekani, Australia, Canada, Ireland, Italy, na Uingereza. Miwani hii unaweza kuipata kwa dola za kimarekani 299 sawa na shilingi za kitanzania laki saba. Na inakuja kwa zaidi ya mionekano ishirini.

Facebook na Ray-Ban waja na miwani janja

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Katika chapisho kutoka kwenye blogu ya Facebook, wameandika miwani hii itawawezesha watu kurekodi matukio moja kwa moja yanapotokea katika mtazamo wa kipekee kabisa, pia utaweza sikiliza muziki, kuongea na watu kutumia app ya Facebook View, kusambaza picha na video kwenye mitandao ya kijamii.

Unapoiona miwani hii kwa mara ya kwanza waweza dhani ni ya miwani ya kawaida tu ya Ray-Ban ila kwa ndani miwani hii ina kamera mbili zenye 5MP, pia miwani hii ina bluetooth 5.0, na wi-fi ambayo ina jiunga na simu yako, betri, nafasi ya kuhifadhi picha mpaka 500 na spika.  Unaweza kupiga picha kwa kubonyeza kitufe upande wa kulia wa miwani.

Miwani hii haifanyi kazi yenyewe kama yenyewe ila inahitaji uwe na simu ya iPhone au Android na iwe na app ya Facebook View, pia itahitaji kuungasha bluetooth na Wi-Fi kwenye simu hiyo ili iweze kutumia huduma za kupokea na kupiga simu kusambaza picha.

 

Facebook View app
Facebook View app

Watu wengi uwa na wasiwasi kuhusu faragha, Facebook wamesema mtumiaji ataweza kuzipata taarifa zake zote na kuzifuta muda wowote anaotaka, pia anaweza kuzuia uwezo wa miwani hizo kurekodi sauti. Facebook wamesisitiza kuwa picha na video kwenye miwani zitakuwa encrypted ili kuongeza ulinzi.

Mwisho, Facebook wanasema ni akaunti moja tu itatumika na miwani kwa wakati mmoja, na ikitokea miwani kupotea au mtu kutaka kubadili akaunti basi taarifa zote za awali zitafuta moja kwa moja.

KWENYE Facebook, Ray-Ban Stories
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?