MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Google waja na app ya kukusaidia kudhibiti matumizi ya data
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Google waja na app ya kukusaidia kudhibiti matumizi ya data

Google waja na app ya kukusaidia kudhibiti matumizi ya data

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Google waja na app ya kukusaidia kudhibiti matumizi ya data

Vifurushi vya data ni bei ghali sio nchini kwetu bali nchi nyingi duniani. Unapokuwa unatumia simu yako kuchat, kufungua mitandao ya kijamii au kuangalia video Youtube pia unakuwa unaangalia usitumie data kwa kiasi kikubwa. Na ni ngumu kujua ni app gani inatumia sana data kuliko zingine.

Datally inamsaidia mtumiaji kuelewamatumizi ya data kwa kutoa ripoti ya kila saa, siku , wiki na mwezi. Pia inamshauri mtumiaji njia za kubadili matumizi ili kuokoa data.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Google waja na app ya kukusaidia kudhibiti matumizi ya data

Datally ina data saver, inayoweza kuzuia ulaji wa data hata kama app haitumiki na inafatilia matumizi ya kila app kwenye simu ya mtumiaji. Kamainatokea app moja inakula sana data kuliko kawaida, mtumiaji anaweza kuizima app iyo bila kuathiri matumizi ya app zingine.

Mwisho, Daally inaweza kumsaidia mtumiaji kuhifadhi data kwa kumtaarifu pindi anapokuwa karibu na eneo lenye mtandao wa WI-FI wa wazi.

Google wameifanyia majaribio Datally kwa miezi kadhaa huko nchini Ufilipino na imeonekana watu wameweza kuhifadhi data mpaka asilimia 30, kabla ya kuiachia kwa dunia nzima hivi leo. Unaweza kuijaribu Datally kama unatumia simu ya Android kuanzia Lollipop5.0 na inapatikana Google Play.

KWENYE Google
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?