MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Instagram yafunga App za Boomerang na Hyperlapse
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Instagram yafunga App za Boomerang na Hyperlapse

Instagram yafunga App za Boomerang na Hyperlapse

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Mwaka 1 uliopita
Sambaza
Instagram yafunga App za Boomerang na Hyperlapse
Kwa mujibu wa Ripoti ya Apptopia iliyochapishwa na mtandao wa TechCrunch inasema Instagram yafunga App za Boomerang na Hyperlapse kwenye Apple App Store na Google Play Store. App hizi zinaondolewa siku kadhaa baada ya Instagram kutangaza itaacha ku support app ya IGTV.

Boomarang ilikuwa ni app maarufu ikiwa imeshushwa takribani mara milioni 300 kwenye app store na Google Play, na siku ambayo imeondolewa ilikuwa imeshushwa mara 26,000. Kwa upande wa Hyperlapse ilikuwa inapatikana Apple App Store pekee na ilikuwa imeshushwa mara milioni 23 pekee.

Katika chapisho la blogu ya Instagram ambalo lilithibitisha kuondolewa app ya IGTV, kulikuwa na ufafanuzi wa kwa nini app hizi zinaondolewa, iliandikwa “ni rahisi kwa watumiaji kupata hivi vipengele vyote app kuu.” Kwa kuwa Instagram kwa sasa inavyo vipengele vilivyo kwenye app hizi inaingia akilini kwa nini wameamua kuziondoa.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Instagram haijasema chochote kuhusu kuondolewa kwa App hizi kwenye blogu yake, isipokuwa watu kadhaa wame tweet kuhusu hili ikiwemo Matt Navarra, ambaye ni mshauri wa maswala ya mitandao ya kijamii.

Instagram has removed its standalone Boomerang and Hyperlapse apps https://t.co/ovoSOLuPKr

— Matt Navarra (@MattNavarra) March 7, 2022

Japokuwa Instagram yafunga App za Boomerang na Hyperlapse, App ya Layout itaendelea kubaki kwenye App Store. Mpaka sasa haiwezekani kuunganisha picha nyingi kwa pamoja moja kwa moja kupitia Instagram.

KWENYE Instagram
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?