MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma iPhone 15 hatimaye inaweza kuja na chaja ya USB-C
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > iPhone 15 hatimaye inaweza kuja na chaja ya USB-C

iPhone 15 hatimaye inaweza kuja na chaja ya USB-C

Imeandikwa na Emmanuel Tadayo Miezi 10 iliyopita
Sambaza
iPhone 15 hatimaye inaweza kuja na chaja ya USB-C
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mchambuzi Ming-Chi Kuo, iPhone 15 hatimaye inaweza kuja na chaja ya USB-C badala ya lightining kama ilivyozoeleka. Habari hii inadaiwa kutoka kwa vyanzo vya usambazaji na utabiri wake mara nyingi huwa kweli.

Apple kila mwaka ina uvumi wa iPhone mpya kuja na chaja ya USB-C. Uvumi huu umekuwepo tangu 2017 . Kuo mwenyewe ametabiri mara kadhaa miaka ya nyuma.

Kama habari hii itakuwa ya kweli basi iPhone 14 ndiyo itakuwa ya mwisho kutumia chaja ya lightining. Kwa sasa Vifaa vingi vya Apple vinatumia USB-C huku zikiwa zimebaki flagship ya iPad, Airpods na iPhone.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

IPhone 15 itafaidika kwa njia mbalimbali kutokana na kupitishwa kwa USB-C – kuchaji haraka na muunganisho mpana zaidi, hasa kwa vifaa vya Apple vinavyotumia USB-C. 

Maelezo mengine yanadai Apple wanalazimika kuhamia USB-C kwenye bidhaa zake baada ya nchi za umoja wa Ulaya kupitisha sheria itakayotaka bidhaa zote za kieletroniki zitakazouzwa kwenye nchi za umoja huo kuwa na chaja moja inayofanana kwa bidhaa zote, na imependekezwa matumizi ya USB-C

KWENYE Apple, iphone, usb-c
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?