MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma M-Pesa yafikisha wateja milioni 50
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > M-Pesa yafikisha wateja milioni 50

M-Pesa yafikisha wateja milioni 50

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 2 iliyopita
Sambaza
m-pesa
Picha kwa hisani ya DailyNews.co.tz
Kampuni ya Safaricom ambayo kwa pamoja na Vodacom inamiliki huduma ya kifedha ya M-Pesa imetangaza kuwa, huduma ya M-Pesa yafikisha wateja milioni 50 wanaotumia huduma hiyo kila mwezi na kufanya kuwa ndio huduma ya kifedha kubwa kabisa barani Afrika.

Huduma hii ya kifedha ambayo ilianza miaka takribani 14 iliyopita huko nchini Kenya, kwa sasa inapatikana katika nchi zingine ikiwemo Tanzania, Msumbiji, DRC, Lesotho, Ghana, na Misri.

Mafanikio haya haya huduma hii yanakuja miezi 18 tu baada ya Safaricom na Vodacom kuinunua brand hii kutoka kwa Vodafone ya uingereza. Lengo likiwa ni kuharakisha ukuaji wa huduma za kifedha kwa kutumia simu barani Afrika. Kabla ya hapo kulikuwa na watumiaji wapatao milioni 40 kila mwezi wanaofanya miamala karibu bilioni moja kila mwezi.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Mwaka 2007, Safaricom na vodafone walizindua M-Pesa nchini kenya kama njia ya kusaidia wateja kutuma na kupokea pesa papo kwa papo. Kwa haraka sana huduma hii ilipendwa na watu wengi kuichagua kama njia yao ya kwanza ya kufanyia miamala, hii ilisababisha kukua haraka kwa huduma hii.

Kukua huku kwa huduma hii kunachangiwa kwa kiasi kikubwa na sekta rasmi kukubali huduma hii kama njia ya kupokea na kutuma fedha hivyo kuikuza kwa takribani asilimia 55.

Sasa wateja na wafanyabiashara na makampuni ya kifedha wanaweza kutuma na kupokea malipo mbalimbali ikiwemo kulipia bidhaa, kulipia bili mbalimbali, na huduma zingine, pia kutuma fedha kimataifa, kukopa fedha yote haya ukiwa umekaa na simu yako au kupitia mawakala waliotapakaa kila kona ya nchi.

 

KWENYE M-Pesa, safaricom
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?