MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Nokia 1 yenye Android Oreo (Go edition) yazinduliwa kwenye kongamano la MWC
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Simu Janja > Nokia 1 yenye Android Oreo (Go edition) yazinduliwa kwenye kongamano la MWC

Nokia 1 yenye Android Oreo (Go edition) yazinduliwa kwenye kongamano la MWC

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
Nokia 1 yenye Android Oreo (Go edition) yazinduliwa kwenye kongamano la MWC

Utangulizi

Tayari kongamano la MWC 2018 limeanza na makampuni yameanza kutangaza bidhaa wanazozindua, na MHD Global wameanza kwa kutangaza Nokia 1 yenye Android Oreo, ambayo ni simu ya bajeti ndogo inayotumia Android Oreo Go Edition.

Nokia 1 yenye Android Oreo

Unaweza Kusoma

Tofauti kati ya simu za Google Pixel 6 na Pixel 6 Pro

Umoja wa nchi za Ulaya kulazimisha matumizi ya USB-C kwa simu zote, na vifaa vingine

Jinsi ya kudownload na ku install iOS 15 kwenye simu yako ya iPhone

Apple wazindua iPhone 13 Pro na Pro Max zikiwa na kioo chenye 120Hz

Simu hii inatarajiwa kuuzwa kwa dola za kimarekani 85 ambazo ni takribani shilingi laki 2 za kitanzania. Itaanza kuuzwa kuanzia mwezi wa nne 2018. Simu hii inakuja na rangi mbili Nyekundu na bluu iliyokoza.

nokia-1

Muonekano wake kwa nje ni wa kawaida kabisa, Simu hii imetengezwa kwa kava la plastiki na kava la nyuma linalotoka linalokuja kwa rangi mbalimbali.

Ukiacha Nokia 1, pia HMD Global wametangaza simu zingine ikiwemo Nokia 7 Plus, Nokia 8110 4G huku wakithibitisha kuwa Nokia 6 toleo la 2018 itaanza kuuzwa ulaya miezi kadhaa ijayo. Simu ambayo inatarajiwa kuwa gumzo ni Nokia 8 Sirocco ambayo nayo imetangazwa leo.

nokia-1-2

Sifa za Nokia 1

  • kioo chenye upana wa inchi 4.5
  • Kamera yenye 5-megapixel na LED flash
  • kamera ya selfie yenye 2-megapixel
  • Mfumo endeshi ni Android Oreo Go
  • Betri inayotoka yenye 2,150 mAh
  • Sehemu mbili za kuweka laini
  • Uwezo wa kucheza musiki na Redio ya FM
  • Prosesa ni Quadcore 1.1GHz
  • Ujazo wa 8GB  (ambao unaweza kuongzwa kwa memori card ya mpaka 128GB)

Endelea kubaki nasi ili tukupashe taarifa mbalimbali kuhusu kongamano la MWC 2018. Pia kwa kutufuata kwenye mitandao ya kijamii, na usisahau ku subscribe ili uwe wa kwanza kupata Habari, Uchambuzi na Makala mbali mbali za kisayansi na teknolojia. Pia usisahau ku acha maoni yako hapo chini na unaweza ku follow channel yetu ya youtube

KWENYE Nokia
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Meta kusitisha bidhaa zake za Portal na kufuta saa janja ambazo hazijatoka

Meta kusitisha bidhaa zake za Portal na kufuta saa janja 2 ambazo hazijatoka

Miezi 4 iliyopita
Samsung Galaxy A33, A53, na A73 zazinduliwa

Simu za Samsung Galaxy A33, A53, na A73 zazinduliwa rasmi

Mwaka 1 uliopita
Galaxy S22 na Galaxy S22 Plus

Kila kitu unachotakiwa kujua kuhusu Samsung Galaxy S22 na S22 Plus

Mwaka 1 uliopita
Simu zinazotumia Blackberry OS kuacha kufanya kazi kuanzia Januari 4

Simu zinazotumia Blackberry OS kuacha kufanya kazi kuanzia Januari 4

Mwaka 1 uliopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?