MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma OnePlus 5T: Unahitaji simu hii kwa matumizi zaidi ya simu
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > OnePlus 5T: Unahitaji simu hii kwa matumizi zaidi ya simu

OnePlus 5T: Unahitaji simu hii kwa matumizi zaidi ya simu

Imeandikwa na Kato Kumbi Miaka 5 iliyopita
Sambaza
oneplus 5t
Yaliyomo
OnePlus 5Tmuonekanohitimisho

OnePlus 5T

Simu ya OnePlus 5T ilizinduliwa mnamo Novemba 2017. Simu inakuja na kionyesho cha skrini ya inchi 6.01 na Resolution ya pixels 1080 na pixels 2160 kwenye PPI ya saizi 401 kwa inchi.

OnePlus 5T 1

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

OnePlus 5T inaendeshwa na processor ya octa-core ya Qualcomm Snapdragon 845 ya 2,45GHz na inakuja na 6GB/8GB ya RAM. Paki ya simu ni 64GB/128GB katika hifadhi ya ndani ambayo haiwezi kupanuliwa (Non-Expandable). Mbali na hayo, OnePlus 5T ina kamera mbili za nyuma zenye megapixel 20 na megapixel 16 ya wide angle, kamera ya mbele ina megapixel 16 kwa selfies.

OnePlus 5T 2

OnePlus 5T inaendeshwa na Program ya Android 7.1.1 Nougat ambayo unaweza ku upgrade mpaka Android 8.1 Oreo na inatumiwa na betri isiyoondolewa ye ukubwa wa 3300mAh. Inachukua ukubwa wa 156.10 x 75.00 x 7.30 (urefu x upana x uzani) na uzito wa gramu 162.00.

OnePlus 5T ni smartphone inayotumia SIM (GSM) mbili ambayo inakubali Nano-SIM kwa pande zote mbili. OnePlus 5T ina viunganishi vya Wi-Fi, GPS, Bluetooth, NFC, USB OTG, 3G na 4G (LTE). Sensor za kwenye simu ni pamoja na Magnetometer Compass, Proximit Sensor, Accelerometer, Sensor ya kupunguza na kuongeza mwanga na Gyroscope.

OnePlus 5T: Unahitaji simu hii kwa matumizi zaidi ya simu

muonekano

Nimependa sana umbo la OnePlus 5T yenye aluminium, ingawa ni sawa na toleo la nyuma yake OnePlus 5. Mipaka ya simu na Kioo ni mizuri na sio kubwa sana na ni nyembamba sana.

Tofauti na OnePlus 5, 5T hupatikana pia katika rangi nyeupe na uzuri wa simu hii ni kwamba fingerprint scanner ya sasa iko chini kamera ya nyuma, badala ya mbele ya simu kama models zilizopita.

OnePlus 5T: Unahitaji simu hii kwa matumizi zaidi ya simu

hitimisho

Simu ya OnePlus 5T inapatikana kwa Dola za kimarekani 600$ ambayo ni bei rahisi ukilinganisha na Simu za Samsung na iPhones.

endelea kuwa nasi kwa kutufuata kwenye mitandao ya kijamii. pia usiache ku comment, like na ku sbscribe kwenye channel yetu ya youtube

 

KWENYE OnePlus
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?