MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Rais Samia Suluhu aitaka benki kuu kujiandaa na matumizi ya Sarafu za mtandaoni
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Rais Samia Suluhu aitaka benki kuu kujiandaa na matumizi ya Sarafu za mtandaoni

Rais Samia Suluhu aitaka benki kuu kujiandaa na matumizi ya Sarafu za mtandaoni

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miaka 2 iliyopita
Sambaza
Sarafu za mtandaoni
Mwanza, Tanzania. Rais Samia Suluhu aitaka benki kuu ya Tanzania kujiandaa na matumizi ya Sarafu za mtandaoni (cryptocurrecy/blockchain), kwani huenda ikafika wakati mabadiliko yanayotokea kwingineko yakaingia Tanzania.

Rais ametoa agizo hilo mapema leo wakati akizindua jengo la Benki Kuu ya Tanzania Kanda ya Mwanza, na kueleza kuwa mabadiliko ya teknolojia na kukua kwa utandawazi kunazidi kuleta mabadiliko mengi, ikiwamo kwenye sekta ya fedha.

Tumeshuhudia kuibuka kwa sarafu mpya kwa njia ya mtandao. Najua bado nchi nyingi ikiwemo Tanzania hazijakubali au kuanza kuzitumia sarafu hizo. Hata hivyo, wito wangu kwa Benki Kuu ni vyema mkaanza kufanyia kazi maendeleo hayo. Yakija yakitukamata, yasitukamate hatuko tayari.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

“Tumeshuhudia kuibuka kwa sarafu mpya kwa njia ya mtandao. Najua bado nchi nyingi ikiwemo Tanzania hazijakubali au kuanza kuzitumia sarafu hizo. Hata hivyo, wito wangu kwa Benki Kuu ni vyema mkaanza kufanyia kazi maendeleo hayo. Yakija yakitukamata, yasitukamate hatuko tayari,” ameagiza Rais Samia

Amesema kutokana na utandawazi, na licha ya kuwa Tanzania haijaruhusu au kuanza kutumia sarafu hizo, wananchi wake wanaweza wakaanza kutumia huko nje ya nchi, na watakaleta jambo hilo nchini, ni muhimu maandalizi yawe yameshafanyika.

Baadhi ya nchi duniani ambazo tayari zimeanza kutumia sarafu za mtandaoni ambazo ni pamoja na Canada, Japan, Marekani, Ufilipino, Ufaransa, Australia, Nigeria.

Bofya hapa kujua mengine mengi kuhusu sarafu za mtandaoni na mengine mengi kuhusu teknolojia.

KWENYE Cryptocurrency, samia suluhu, tanzania
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?