MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Sasa watumiaji wa Android na iOS wanaweza kujitumia ujumbe kupitia WhatsApp
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Sasa watumiaji wa Android na iOS wanaweza kujitumia ujumbe kupitia WhatsApp

Sasa watumiaji wa Android na iOS wanaweza kujitumia ujumbe kupitia WhatsApp

Kipengele kipya cha "Message Yourself", kitawezesha watumiaji wa simu janja za Android na iOS kujitumia wenyewe ujumbe wa maelezo, picha na zaidi

Imeandikwa na Alice Kimathi Miezi 4 iliyopita
Sambaza
Sasa unaweza kujitumia ujumbe kupitia WhatsApp

Sasa unaweza kujitumia ujumbe kupitia WhatsApp kwani programu hii imeachia kipengele kipya chenye jina  ‘Message Yourself’ kitakachokuwezesha kujitumia Ujumbe Mwenyewe kwa watumiaji kwenye iOS na Android. Kipengele hicho awali kilikuwa sehemu ya jaribio la beta ambalo sasa linapatikana kwa kila mtu.

Sasa unaweza kujitumia ujumbe kupitia WhatsApp kwa Urahisi

Kama ilivyoripotiwa na TechCrunch, programu hii ya kutuma ujumbe inayomilikiwa na Meta lilitangaza kuachia kipengele hicho cha ‘Message Yourself’ jana, na sasa iko njiani kuelekea matoleo ya Android na iOS ya programu. Kwa kipengele hicho, watumiaji wanaweza kujitumia maelezo, vikumbusho, orodha za ununuzi na zaidi.

Unaweza Kusoma

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Kipengele hiki kimekuwa kikipatikana kwenye majukwaa mengine, hasa Telegram, ambayo imekuwa nayo tangu kuzinduliwa, pia programu ya Signal ina kipengele kinachofanana kinachoitwa ‘Note to Self’ kwa muda sasa. WhatsApp ilianza tu kufanyia majaribio kipengele hiki hadharani mnamo Oktoba 2022.  Na kabla ya kipengele hiki kuachiwa, njia pekee ya kujitumia ujumbe  mwenyewe kwa kutumia anwani ‘wa.me/91.’

Jinsi ya kujitumia ujumbe kupitia WhatsApp ‘Message Yourself’

Ili kuanza kutumia kipengele hiki cha kujitumia Ujumbe , ni lazima uwe na toleo jipya la programu ya WhatsApp kwenye simu yako ya Android au iOS. Kama hujasasisha, nenda kwenye Duka la Programu la Google Play/Apple na usakinishe toleo jipya zaidi la programu. Mara baada ya kumaliza, fuata maelekezo haya;

  1. Fungua WhatsApp kwenye simu janja yako
  2. Gonga kitufe cha New Chat – kinapatikana kwenye kona ya juu kulia kwenye iPhone na chini kwenye simu za Android
  3. Hapa, utapata kadi ya mawasiliano na namba yako ya simu kama ‘Message Yourself’ na utaanza kujitumia ujumbe.

Ikiwa bado hujapata kipengele kipya, usijali kwani WhatsApp ilifafanua kuwa inaweza kuchukua wiki kadhaa kwa kusambazwa kwa watumiaji wote. Ningependa kusikia kutoka kwenu mnafikiria nini kuhusu ‘Message Yourself’ kutoka WhatsApp? Shiriki mawazo yako nasi katika maoni hapa chini na endelea kuwa nasi Mtaawasaba kwa habari zaidi za teknolojia kama hii.

KWENYE WhatsApp
CHANZO TechCrunch
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?