MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Mambo 6 unayotakiwa kujua kuhusu iPhone SE (2022)
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Mambo 6 unayotakiwa kujua kuhusu iPhone SE (2022)

Mambo 6 unayotakiwa kujua kuhusu iPhone SE (2022)

Imeandikwa na Kato Kumbi Mwaka 1 uliopita
Sambaza
iPhone SE 2022
Yaliyomo
Muonekano wa iPhone SEProsesa na mfumo Endeshi wa iPhone SEKamera ya iPhone SERAM na Hifadhi ya iPhone SEBetri ya iPhone SEBei na Upatikanaji wa iPhone SE

Baada ya tetesi nyingi mwezi mzima uliopita hatimaye leo kupitia Apple Event ilopewa jina Peek Performance, Apple wamezindua bidhaa mpya kadhaa ikiwemo simu ya “gharama nafuu” ya iPhone SE 2022 kizazi cha tatu, simu yenye nguvu na muonekano wa zamani ikiwa na uwezo mkubwa kwa gharama nafuu ukilinganisha na simu zingine za iPhone. Simu hii inakuja na mfumo endeshi wa iOS 15.

Muonekano wa iPhone SE

Simu hii mpya inakuja na muonekano unaofanana kwa karibu sana na vizazi viwili vilivyoitangulia vya iphone SE huku ikibakiza kitufe maarufu kama home button. Ukubwa wa simu ni inchi 4.7 na kioo cha Retina HD chenye teknolojia ya LCD kikiwa na refresh rate ya 60HZ

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Simu hii inakuja na rangi mbili unazoweza kuchagua ambazo ni Midnight na Starlight. Upande wa nyuma kuna kioo kigumu kinachofanya simu iwe ngumu kuvunjika. Simu hii inakuja na uwezo wa kuzuia maji na vumbi kuingia ikiwa imethibitishwa na IP67.

Mambo 6 unayotakiwa kujua kuhusu iPhone SE (2022)

Prosesa na mfumo Endeshi wa iPhone SE

Simu hii inakuja na prosesa ya A15 Bionic sawa na inayopatiakana kwenye simu ya iPhone 13. Katika kipengele hiki tunaona maboresho makubwa ukilinganisha na waanguliza wake. Prosesa hii inatosha kabisa kusukuma mfumoendeshi wa iOS 15.4 ambao utakuwezesha shuguli za kupiga picha na video kuwa kwa ulaini. Pia simu hii ina uwezo wa Wi-Fi 802.11, Bluetooth 5.0 bila kusahau uwezo wa  5G na mifumo mingine ya nyuma.

a 15 bionic

Kamera ya iPhone SE

Kama ilivyokuwa kwa matoleo ya nyuma, simu hii inakuja na kamera moja upande wa nyuma yenye lenzi ya 12-megapixel wide-angle. ambapo itakuwa na uwezo wa kupiga  portrait mode na uwezo kurekodi mpaka 4K, Slomo na time lapse. Upande wa kamera ya Selfie ni 12MP Wide na inaweza kurekodi video ya 1080p kwa frame 30 mpaka 120 kwa sekunde

Mambo 6 unayotakiwa kujua kuhusu iPhone SE (2022)

RAM na Hifadhi ya iPhone SE

Simu hii inakuja na matoleo mawili ambapo moja itakuwa na RAM 3GB na 4GB ambayo itakuwa na hifadhi ya 128GB huku kutakuwa na yenye 256GB yenye 3GB. Simu hii inakuja na sensa ambazo ni TouchID (Home Button), accelerometer, proximity, gyro, compass, na barometer.

iphone se 2022

Betri ya iPhone SE

Simu hii inakuja na betri yenye uwezo wa kuchaji kwa haraka mpaka 18W (inafikisha asilimia 50% kwa dakika 30). Kama simu zingine za Apple, inakuja na charging port yenye kuruhusu Lightning cable, pia ina teknolojia ya USB 2.0

Bei na Upatikanaji wa iPhone SE

Simu hii inataanza kupatiakana kuanzia mwezi wa 3 tarehe 18, ila unaweza ku pre order kuanzia ijumaa tarehe 11 mwezi wa tatu. Bei ya kuanzia ni shilingi za kitanzania milioni 1 bila kodi. Mpaka sasa haijajulikana ni lini na kwa gharama kiasi gani itauzwa Tanzania

KWENYE Apple
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?