MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Sasa inawezekana kuongeza hadi watu 512 kwenye grupu la WhatsApp
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Featured > Sasa inawezekana kuongeza hadi watu 512 kwenye grupu la WhatsApp

Sasa inawezekana kuongeza hadi watu 512 kwenye grupu la WhatsApp

Imeandikwa na Alexander Nkwabi Miezi 11 iliyopita
Sambaza
ongeza hadi watu 512 kwenye grupu la WhatsApp
WhatsApp imefanya maboresho makubwa kwenye sasisho lake la hivi karibuni ambapo watu wote sasa wataweza kujibu jumbe kwa reactions na maboresho mengi zaidi. Sio hivyo tu kwani Sasa inawezekana kuongeza hadi watu 512 kwenye grupu la WhatsApp. Imetangazwa na WhatsApp inayomilikiwa na Meta kuwa kuanzia sasa ukomo wa wanachama wa vikundi vya WhatsApp utakuwa watu 512.

Ukomo wa Kikundi cha WhatsApp Waongezeka

Chapisho la hivi karibuni la blogu ya WhatsApp linaonyesha kuwa hivi karibuni itaruhusu watumiaji kuongeza hadi wanachama 512 kwenye kikundi. Hii itakuwa ni mara mbili zaidi ya kikomo cha sasa cha wanachama 256 kwa kikundi kimoja cha WhatsApp. Kwasasa kipengele hiki kinapatikana kwa baadhi ya watumiaji, na tunatarajia kufikia watumiaji wote wa Android na iOS hivi karibuni.

Maboresho haya ni jambo la kuvutia hasa kwenye vikundi vinavyojumuisha vikundi vikubwa vya watu. Hata hii ni kiasi cha chini sana cha ukomo ukilinganisha na mpinzani wake ambaye ni Telegram ambayo ukomo wake ni watu 20,000 kwa kikundi.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Pamoja na hayo, WhatsApp pia imeongeza ukomo wa kutuma na kupokea mafaili yenye ukubwa wa mpaka 2GB. Hii ni ongezeko kubwa zaidi kutoka ukomo wa awali ambao ulikuwa ni 100MB pekee. WhatsApp inasisitiza matumizi ya wi-fi unapotuma au kupokea mafaili makubwa. Kipengele hiki kimeanza kwa kupatikana kwenye toleo la beta kwanza.

Kama unavyojua tayari, athari za ujumbe (reactions) pia zimeanza kufikia watumiaji na matoleo ya hivi karibuni ya programu sasa yanawaunga mkono. Watumiaji wanaweza kubonyeza ujumbe kwa muda mrefu na kuchagua kutoka kwa chaguzi 6 za emoji ili kuijibu. WhatsApp imethibitisha kuwa hivi karibuni itaongeza chaguo zaidi za emoji kwenye orodha, kama vile inapatikana kwenye Instagram.

Pia WhatsApp kwa muda sasa wamekuwa wakifanyia kazi vipengele vya Reactions na Community, na sasa wametangaza rasmi kuzindua vipengele hivyo. Haya ndiyo unayotakiwa kuyafahamu. Kupitia  press release waliyoandika, kipengele cha Communities kitakuwa ni mahususi kwa taasisi lama shule na klabu ndogo ndogo, bila kusahau taasisi zinazojitolea.

Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Siku 4 zilizopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Siku 5 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?